GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,542
- 108,877
Asilimia 65 wanawake wanapenda wanaume wenye kufanya Mazoezi ya mwili, Hizi ni takwimu za mwaka 2021 kutoka chuo cha Mazoezi ya mwili kinachoitwa Brown fitness center kilichopo nchi Marekani.
Chanzo: marathonioverstz
Kwa hili Kudadadeki tutaanza Kupigana Vikumbo sana huko Gym na katika Fukwe za Dar es Salaam.
Na leo nimejua kwanini Mtangazaji Mmoja maarufu mno nchini wa Michezo Tanzania ( Kidoti Boy ) anasafiri sana Marekani na Kupendwa na Wazungu ( hasa Wazee ) na humlipa Pesa ( Madola ) mengi kwa 'Kuwashughulikia' ipasavyo.
Akirejea Tanzania Yeye 24/7 ni Kukimbia tu Coco Beach hadi mitaa yake ya Slip Way Masaki ili kujiweka Fiti kwa Wazungu wake wa Marekani wakati Wabobezi wa Kitu cha Mkongo' tunabaki hapa hapa tu Bongo na Mademu Wetu ambao huwa tunawakomoa na Wao pia wanatukomoa kwa Kutupa ( Kutuambukiza ) Migono na Mikaswende yao mpaka wengine sasa Dawa zote za Magonjwa ya Zinaa kama Cipro, Amplicloxy na Metronidazole tumeshazikariri zote Vichwani mwetu na tukienda tu Pharmacy Dawa zenyewe zinaanza kuchezacheza Kabatini kuashiria kwamba zimejua kuwa tumezifuata tuzitumie kwa Ubishi wetu wa Kutokuvaa Kofia za WHO ( Condoms ) na Kupenda kwenda Peku Peku ( Dry Chama ) pindi tuonapo Mbunye zimenona na Kulainika tayari.
Chanzo: marathonioverstz
Kwa hili Kudadadeki tutaanza Kupigana Vikumbo sana huko Gym na katika Fukwe za Dar es Salaam.
Na leo nimejua kwanini Mtangazaji Mmoja maarufu mno nchini wa Michezo Tanzania ( Kidoti Boy ) anasafiri sana Marekani na Kupendwa na Wazungu ( hasa Wazee ) na humlipa Pesa ( Madola ) mengi kwa 'Kuwashughulikia' ipasavyo.
Akirejea Tanzania Yeye 24/7 ni Kukimbia tu Coco Beach hadi mitaa yake ya Slip Way Masaki ili kujiweka Fiti kwa Wazungu wake wa Marekani wakati Wabobezi wa Kitu cha Mkongo' tunabaki hapa hapa tu Bongo na Mademu Wetu ambao huwa tunawakomoa na Wao pia wanatukomoa kwa Kutupa ( Kutuambukiza ) Migono na Mikaswende yao mpaka wengine sasa Dawa zote za Magonjwa ya Zinaa kama Cipro, Amplicloxy na Metronidazole tumeshazikariri zote Vichwani mwetu na tukienda tu Pharmacy Dawa zenyewe zinaanza kuchezacheza Kabatini kuashiria kwamba zimejua kuwa tumezifuata tuzitumie kwa Ubishi wetu wa Kutokuvaa Kofia za WHO ( Condoms ) na Kupenda kwenda Peku Peku ( Dry Chama ) pindi tuonapo Mbunye zimenona na Kulainika tayari.