Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,481
- 96,940
- Thread starter
- #261
acha kutupa moyo, hiyo Forester XT hapo parking ni ya nani 😆Kikubwa uhai
acha kutupa moyo, hiyo Forester XT hapo parking ni ya nani 😆Kikubwa uhai
Kama ni anasa nzuri, Jitahidi ziku pitie mkuuYaaani mradi mkono.uende kinywani, hayo mengine ni anasa za dunia tuu. Hayapo kwenye ile basic need ya binadam
Sasa huwezo huna wa pikipiki ndugu hilo gari unaweza liota nfuguKama ni anasa nzuri, Jitahidi ziku pitie mkuu
ndo tupambanie kombe mzeeSasa huwezo huna wa pikipiki ndugu hilo gari unaweza liota nfugu
Miye sitaki presha ntanunua nikistafuuu kwa kiinua mgongondo tupambanie kombe mzee
Hapo ndo una jichimbia kaburiMiye sitaki presha ntanunua nikistafuuu kwa kiinua mgongo
Kaburi kivipi wakati ndiyo miguu itaanza kuuma usafiri utaitajokaHapo ndo una jichimbia kaburi
Dah my favorite enemy 😂🦅Hata mimi nilijua hivo mkuu😂😂😂. Hawa watakuwa walijiunga kwa connection.
Mkuu amini usi amini, mimi ni raisi wa Chama Cha ma jobless pro maxWatu mna vibunda vya kutosha, Mnatuchora tu mbuzi nyie
Mitsno tena
Kidumu chama Cha ma jobless pro maxMitsno tena
Nimesoma mpaka page namba 4 tu nimecheka sana 😂
Uzi upo, ngoja niku tag 😂🦅Nimesoma mpaka page namba 4 tu nimecheka sana 😂
Prezoo fanya uandae uzi uwe na jina maalumu (MAJOBLESS PRO MAX) halafu tutag huko uwe uzi wetu wakujidai, mtu wa nje ya chama akizingua tunamleta kwenye uzi wetu halafu tunamalizana nae kimya kimya 😂
Nitag mkuu, fujo muhimu mpaka JF itoe vumbi 😂Uzi upo, ngoja niku tag 😂🦅
Ha haa kuendesha tu gari sijui!