Tusimdanganye Rais kwa uzembe wa aina hii.

Tusimdanganye Rais kwa uzembe wa aina hii.

Kwani huyo mzee aliyevaa cheni shingoni ni Nyerere?
 
Rais hana akili, kila siku, kila kitu anadanganywa at kupotoshwa. Na macho je pia hana?
 
Jana tumeona sanamu yenye taswira ya baba wa Taifa ambayo kiukweli tunadanganyana kwa kupewa kitu kisicho sahihi au labda kama kuna sababu ambayo hatuijui.

Yote kwa yote haiingii akili bado, kwa hilo sanamu, hapa najaribu kuweka tofauti kwa kituko nilichokiona na nyingine iliyopatikana.View attachment 1150754
Hii [emoji115] na hii [emoji116] nani anafaa kutumiwa?
View attachment 1150758



Moderator angalia content usiunganishe uzi tafadhali.

Majitu ambayo ni madhalimu hua hayana akili na maarifa!
 
Nae mkuu wa nchi hakuona utofauti au amemsahau nyerere?
 
Jana tumeona sanamu yenye taswira ya baba wa Taifa ambayo kiukweli tunadanganyana kwa kupewa kitu kisicho sahihi au labda kama kuna sababu ambayo hatuijui.

Yote kwa yote haiingii akili bado, kwa hilo sanamu, hapa najaribu kuweka tofauti kwa kituko nilichokiona na nyingine iliyopatikana.View attachment 1150754
Hii [emoji115] na hii [emoji116] nani anafaa kutumiwa?
View attachment 1150758



Moderator angalia content usiunganishe uzi tafadhali.
Mbona aliye'danganywa' ana macho? Mnataka kusema hakuona?
 
Anaweza juwa na macho lakini asione, anaweza kuwa na masikio lakini asisikie na anaweza kuwa na mdomo lakini akashindwa kusema.
Mbona aliye'danganywa' ana macho? Mnataka kusema hakuona?
 
Yaani mchongaji sanamu hakuambiwa ni Nyerere gani anaetakiwa,pengine alijuwa ni steve Nyerere.
 
Back
Top Bottom