Vipi mbona kama kuna kitu unakijua kuhusu Magufuli na hutaki kukisema? Kwani imetokea nini?Sasa hivi kila anayeta kujipendekeza au kupitisha ombi kwa Rais Samia lazima aanze na kumponda Hayati Magufuli kwanza halafu ndio anaamini hoja yake itapita kirahisi. Nimekuwa niki-observe Sana hili.
Kila anayetaka kujenga msingi wa hoja fulani lazima aanze na madongo kwa Hayati Magufuli halafu mama anafurahia.
Siyo vizuri kabisa.
NANI KAMPONDA NA KUJIPENDEKEZA KWA SAMIA?Ni kama vile Magufuli alikuwa Chadema!
Kura yao siyo lazima. UsitishieIla sijui katika chaguzi za 2024 na 2025 watawaambia nibi vipenzi wa JPM ili waweze kueleweka. Makundi ya wamachinga na wachuuzi waliohamishwa katika maeneo ambayo yeye binafsi aliwaruhusu kufanya biashara zao, familia za waathirika wa masoko yanayoungua mara kwa mara, wana CCM ambao walimkubali na kukubaliana naye kwa dhati kuhusu miundombinu yake mingi ya kimkakati, kanda pendwa ambayo sasa wanaikebehi kama Sukuma Gang, acha makundi mengine yenye chuki na Mzee wa Msoga, na kundi jipya lililoibuka la wenye kuchukizwa na serikali kukopa kopa hovyo na mgawanyo wa mkopo ukiwapendelea wale wa pande za Mchambawima.
Sijui upo kundi gani? Wewe ni paka, pusi au nyau? Lakini nahisi kabisa unakipaji ambacho kupitia kwake Mods wanaweza kuanzisha kitufe cha "dislike" ili kiende sambamba na kile cha "like"Kura yao siyo lazima. Usitishie
watu nyau.