Misaada kama misaada haina shida!Kibaya ni Masharti ya misaada Husika,kama masharti yanalenga kulazimisha Nchi Idharau misingi ya Heshima,Utu na Haiba ya watu wake basi misaada hiyo ni ya Kijinga na si ya kuipokea wala kuikubali!"Mtu mwenye akili akikuambia kitu cha Kipumbavu wakati akijua na wewe unaakili timamu ukakikuba anakudharau!JK