Tusijifariji CCM inapasuka

Tatizo viongozi wake wanadhani kupasuka ni kuhama kwa viongozi wake mashuhuri.
Kukatwa kwa lowassa kunaonesha jinsi watu wametengeza chuki baina ya makundi.
CCM wategemee adhabu ya kura za hasira.

mmmmh izo kura za hasira si mlianza kusema zitapigwa kuanzia mkutano mkuu kumpa ushindi amina salum ama asha rose?! hii game atapigwa supa mtu hakuna kuingia kingi kubabake
 

Huna akili mwenyewe shenzytype
 

Mkuu Nkobe rekebisha kauri zako kwani baadae utagundua kuwa wewe hauana hekima!
1. Kama ni kuangalai makosa ya EL basi huwezi kuwaacha wengine ndani ya Chama chao. Nakufanya hivyo wewe utakuwa na chuki ya binafsi na bwana EL

2. Ni nani msafi ndani ya chama chenu? Hata viongozi wakuu wengine ambao hawapo tena kwenye madaraka walifanya maajabu mpaka mtu unauzo benki kwa bei ya chee! angalia mgodi wa KIWILA nk
3. Haiwezekani EL kutoswa peke yake kwani nani alikuwa na madaraka juu ya EL? Nafikiri unajua mwenyewe!

4. Si siri kuwa hata wengine walioko madarakani waliingia kwa mtandao wa kifedha.

Ogapa Muumba wako ili siku za kuishi hapa duniani ziwe nyingi. Mwenyezi Mungu alishapanga nani kti yako na EL atatangulia hivyo kumtakia kifo haitakusadia.
 
KOMBOA TANZANIA
NA LOWASSA!
MUNGU MBELE!
Watanzania tukatae magoli ya mikono ya wahuni na wabakaji wa haki na Demokrasia Tanzania.
Tanzania ni yetu sote! ✌
 

Leo nimepima na kujikuta kilo zimeogezeka tangu wamkate Lowassa kilo zangu zilipungua sana.
 
Last edited by a moderator:

Mkuu umenena!!
 
Na kwa taarifa yenu, slogan ya CHADEMA ya "PEOPLES POWER", waliipatia sana maana sasa inaenda timika. "KITENGO" ninawaonya wasije jaribu hata siku moja kutumia kitengo chao kuzuia nguvu ya Umma, wataona cha mtema kuni, waache watu waamua mstakabali. Nafurahi kweli kweli na nililiona wazi laja.

Na ukweli niliwahi tabiri CCM wamefika sasa pabaya. Lowassa angeshinda ingekuwa tabu hivi hivi, wamemwacha wakidhani wameweza wadanganya watanzania ndi niliona ingekuwa tabu zaidi maana walitunza na kudekeza haya wao wenyewe. It is almost getting out of control.
 
Unafanya kazi ya hasara kweli..ZZK mwenyewe kaangukiwa na bahati mbaya sana kazaliwa mtoto mwingine ...maridhiano yapi tena.CCM haiwezi mto magufuli na lowasa hayupo tayari tena kuchukua cheo kingine zaidi ya kugombea urais.Yote ni impossible....CDM sasa hivi wanatoa dose kwa masaa ccm itakuwa busy to death.
 
dalili mbaya sana kwa ccm ikitokea gazeti lolote kuandika mada hii itawachanganya sana wana ccm yaani January Makamba kuonekana bora kuliko Pinda,Mwandosa,Wasira,Sumae,Nchemba,Sita,Bilali
 
Kweli CCM wapuuzi ...YAANI WAMELAZIMISHA HADI KWENDA WACHOKONOA WAMASAIA MACHONI KUWAKUMBUSHA KWAMBA KASKAZINI HAITAKIWI?Hata masaia wa msoga wanaipiga chini CCM.
 
Mkuu Elli hakuna kitengo chochote mkuu ni wahuni tu hawa huja na maneno yao ili kuwazuga Watanzania. Mwaka 2005 walikuja na neno mtandao mwaka huu wamekuja na uongo mwingine eti Kitengo. Hakuna kitengo wala mama yake kitengo ni genge la wahuni tu, wezi, mafisadi na wapokea rushwa eti wanamkata Lowassa kwa sababu si msafi halafu wanampitisha Magufuli! Ni sawa na kuruka mkojo na kwenda kukanyaga kinyesi tena kibichi.

 
Last edited by a moderator:
hapa wakitaka jenga ccm mpya ni kuondoa lowassa kwenye ramani ya siasa ya chama cha mapinduzi.
nawots wanaomfuata/wafuasi wake. kama ananguvu aondoke na nguvu zake.
ila na upinzani wasimpokee kwanihuyu mfanyabiashara anataka akauze madawa ikulu, anawatisha watu ahame thu aende anakojua, atapokelewa na watu wake wamfuate,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…