Zinaa imeteka akili za ubunifu kabisa! Watanzania ni wajanja katika kutengeneza mazingira ya kula tunda kimasihara kuliko kujikwamua kwenye lindi la umasikini na ujinga!Zama za sasa kumekuwa na WATOTO wengi wa nje ya NDOA, Kukithiri kwa MARADHI na hata UMASKINI.
Sababu ya haya yote ni kukithiri kwa ZINAA.
Kama unapinga pinga kwa hoja.
Muda mwingi na mali pia tunapoteza kupitia zinaa na matokeo ya zinaa ni watoto wanaokatiliwa kisha wakaja kuwa omba omba wanaokosa elimu.Zinaa imeteka akili za ubunifu kabisa! WaTz ni wajanja katika kutengeneza mazingira ya kula tunda kimasihara kuliko kujikwamua kwenye lindi la umasikini na ujinga!
Laki 2 ndogo tu, kula raha mkuu.. maisha yenyewe yako wapi.. ma vifo kila sikuJana kufukuzia mpuuzi flani tu imenigharimu 95,000 hafu kasema leo ndio tuonane. Nadhani itafika Laki 2.
Umesema commercial ni biashara,na wanafanya biashara hio kwaajili ya umaskini kama zilivyo nchi nyingenezo maskini .Thailand Pattaya Kuna ngono sio poa, tena commercial ngono ya kila aina kwanzia straight mpaka ma ladyboy lakini hakuna umaskini kama bongo.
Usitupangie
🤣🤣Mchizi wangu juzi kalipwa 250k job kama posho ya kazi flani ya nje
Kaagiza demu mpya.
Nauli 10k (ya demu kukutana na jamaa)
Vinywaji na chakula 40k
Rum 20k
Mafuta ya Kigari chake kwa ajili ya misele ya siku hio 30k
Posho kwa demu 50k
Kesho naonana nae analalamika ile hela imekata
Mtoa mada umegusa hasa kunako mi hata kuna uzi nilishatoa comment kuhusu same thing na watu wanakuona bwege na kujichekesha loool while its very sad indeed😥Zama za sasa kumekuwa na Watoto wengi wa nje ya Ndoa, Kukithiri kwa MARADHI na hata UMASKINI.
Sababu ya haya yote ni kukithiri kwa ZINAA.
Kama unapinga pinga kwa hoja.
😲🤣Laki 2 ndogo tu, kula raha mkuu.. maisha yenyewe yako wapi.. ma vifo kila siku
Usicheke mkuu goma la siku moja linakwara 150K
Boredom ,vanity , loneliness ,uvivu wa kufikiri are the causes of promisquity and the "LUST" being the least cause.....Mtoa mada umegusa hasa kunako mi hata kuna uzi nilishatoa comment kuhusu same thing na watu wanakuona bwege na kujichekesha loool while its very sad indeed😥