Tusi la Serukamba (MB)

Tusi la Serukamba (MB)

Lambo Ugweno

Member
Joined
Mar 27, 2013
Posts
27
Reaction score
1
Wadau wa JF ninakuja kwenu nikiwa nimepiga magoti, swala kubwa ninalotamani kulijua hapa katika uzi huu ni JE? Ninani anaweza kulirudia tusi la Serukamba kwani hakuna mtu wala chombo cha habari kilichoweza kulisema hilo tusi ambalo nasikia Spika na Naibu wake hawakuliona kama ni tusikubwa au hata kama ni tusi au neno chafu kuzungumzwa Bungeni. Hivyo Peter hakuonnywa wala kunong'onezwa pembeni kwamba amenyea Bunge.

Kwa sisi ambao kazi zetu haziruhusu sana kuweza kusikiliza Bunge tumepitwa na hilo na ninaona kama humu ni sehemu muafaka kutupia uzi na watu wakasaidia kutujuzu sawaswana kilichojiri bungeni.

Nawasilisha.....
 
wanasema alitukana kwa kizungu,thats why spika kapotezea,ila hata mimi sikupata nafasi ya kulisikia.
 
Hehehehehe,,,,,,,tusi la seru-ROPE UTALIONA KWENYE HANSAD (KAMA SIKOSEI) YA BUNGE
 
Tusi lile inabidi lichukuliwe lirekodiwe na itengenezwe hoja binafsi ya kuonyesha daylight partiality bungeni. Hili tusi lingekuwa limetoka CHADEMA kikao kinge ahirihswa ili kikao cha kamati ya nidhamu na maadili kitoe maamuzii mazito.
Ni tusi la moja kwa moja kwa wapiga kura na tunasikitika na waTZ wote wastaarabu na wenye silka za kuvumiliana.
 
tusi la "siongei na mbwa naongea na mwenye dog" na kuongeza kuwa "hata ww unajua hilo, na pia alieomba mwongozo wa spika akaambiwa siyo mtu makini"kudadadeki limenitifua hadi nyongo. naahidi kufa na ccm na watu wasiokuwa na busara kama huyu MB. jana Lissu kaongea kuhusu secretariat ya maadili ya utumishi wa umma, uozo aliousema nimakini kabisa hatua za haraka zinatakiwa kuchukuliwa, Mnyika akajikita na usalama wa taifa ambao wamesahau majukumu yao wamejiingiza kwenye uharifu wakishirikiana na polisi wetu, za kuuwa, kunyofoa makucha na meno kwa watu wanaochomozea kuipinga serikali, watu wasiomakini wanaongea pumba, mtu kama Eng.Manyanya, alikuwa anaongea nini sasa, au Nchemba ni watu wanaoongea ushabiki wa vyama bungeni, hawatusaidii sisi wananchi. chama kama CCM na watu wake hakitakiwi kabisa ktk karne hii. Japo naona watu wachache sana makini ndani ya CCM, watu kama Mwakyembe, Kumjombe, Magufuli, Lowasa, wengine wote ni wanafiki tu kujikomba kwa wakubwa zao kufumbia maovu.
 
Tuwe tunasema 'mbunge wa ccm Kwa jina Peter Serukamba ametumia 'F' words bungeni wakati akichangia hoja'



Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
hangover ya pombe ni mbaya brain inakuwa nje ya mstarimmmh aibu kwa huyu mding
 
Wadau wa JF ninakuja kwenu nikiwa nimepiga magoti, swala kubwa ninalotamani kulijua hapa katika uzi huu ni JE? Ninani anaweza kulirudia tusi la Serukamba kwani hakuna mtu wala chombo cha habari kilichoweza kulisema hilo tusi ambalo nasikia Spika na Naibu wake hawakuliona kama ni tusikubwa au hata kama ni tusi au neno chafu kuzungumzwa Bungeni. Hivyo Peter hakuonnywa wala kunong'onezwa pembeni kwamba amenyea Bunge.

Kwa sisi ambao kazi zetu haziruhusu sana kuweza kusikiliza Bunge tumepitwa na hilo na ninaona kama humu ni sehemu muafaka kutupia uzi na watu wakasaidia kutujuzu sawaswana kilichojiri bungeni.

Nawasilisha.....
Mimi ninalo katika audio ila jinsi yakuweka hapa imekuwa issue!
 
Kuna haja ya kulitafsiri ilo tusi then tumpe iyo version Ndugai labda atachukua hatua!
 
Tusi la Serukamba LILIMKUNA NDUGAI SAWASAWA mpaka akashindwa kukemea
 
Wadau wa JF ninakuja kwenu nikiwa nimepiga magoti, swala kubwa ninalotamani kulijua hapa katika uzi huu ni JE? Ninani anaweza kulirudia tusi la Serukamba kwani hakuna mtu wala chombo cha habari kilichoweza kulisema hilo tusi ambalo nasikia Spika na Naibu wake hawakuliona kama ni tusikubwa au hata kama ni tusi au neno chafu kuzungumzwa Bungeni. Hivyo Peter hakuonnywa wala kunong'onezwa pembeni kwamba amenyea Bunge.

Kwa sisi ambao kazi zetu haziruhusu sana kuweza kusikiliza Bunge tumepitwa na hilo na ninaona kama humu ni sehemu muafaka kutupia uzi na watu wakasaidia kutujuzu sawaswana kilichojiri bungeni.

Nawasilisha.....

nilisoma hapa juzi kuna mdau wa jf alisema ameshatengeneza t-shirt ya serukamba labeled with that word,itakuwa poa na mimi nikiipata yangu.
 
Nimelisikia live, asante Watu 8 kwa jitihada zako, ingawa inasikika kwa taabu sana.
 
Si huyu hapa muangalie mwenyewe?



 
Last edited by a moderator:
Anawaza ku.fu..c..k tu huyo hana lolote...alinenalo mtu ndo liloujaza moyo wake...mnzinzi mkubwa
 
Una bahati Mods hawajamove hii thread yako. Tusi hilo limo humuhumu JF na lilipatikana siku ileile. Mie thread yangu ya kuchukizwa na Nkamia imefichwa kwenye thread isiyokuwa na muelekeo wa masikitiko. Mods bwana wakati mwingine hawapimi uzito wa hoja.
 
Back
Top Bottom