Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 28,458
- 45,749
Usijali every penny countsMama uyu ni noumer
Dah aisee
Usijali every penny countsMama uyu ni noumer
Dah aisee
Mmh lkn izo ni nying sn kwenye kibubuUsijali every penny counts
Umeona eeh, naona ndio wale wanaficha na hela zinakosekanaMmh lkn izo ni nying sn kwenye kibubu
Hahaha haya baanaUmeona eeh, naona ndio wale wanaficha na hela zinakosekana
Ipo siku na wewe utajaza tu,
Hahaha hazifiki banaa ni chache mnozmefika laki ngapi izo mkuu?
kama shingapii iv/ zitatosha kula bata kesh namim?Hahaha hazifiki banaa ni chache mno
Basi nikuongeze hadi zifike laki tano !!!Hahaha hazifiki banaa ni chache mno
Aisha nisikilizeNdo una maanisha nn
Heri ya mwaka mpya ndugumm sijaelewa maana naangalia compute yangu hapa chini inasoma 12.40 saa hiyo tarehe 1.1.2017 ina maana nimefika 2017? kwa heri mwaka wa majanga 2016.
Usiende kula bata mkuukama shingapii iv/ zitatosha kula bata kesh namim?
Aisee ungefanya la maana sana zzBasi nikuongeze hadi zifike laki tano !!!
Hahaha nshakivunja ssWenzio tunaisubili 2017 Ieleweke kwanza..
Kama vp zirudishe kibubuni
Dah..... Wewe ni konda?
Aisha wa mwaka wa janaNdo una maanisha nn
Mie ntakuwa wa kwanza kutunza pesa zangu bila kuweka benki. Huu msimu eti crdb bank wameweka kiwango cha mwisho cha kutoa pesa ATM ili tukatwe Mara nyingi gharama za utoajiSerikali ipige marufuku wananchi kuficha pesa kwenye vibubu kwani vinapelekea uhaba wa coins katika mzunguko wa pesa.
Ona chenji zote alikuwa ameatamia yeye tu!
Hapana mm mpika vitumbuaDah..... Wewe ni konda?