Tusaidiane mwenye uelewa kuhusu jambo hiliPOST THREAD

GuDume

JF-Expert Member
Jan 18, 2015
6,652
14,247
Kila thread ninayoianzisha nikiangalia kwenye hiyo forum nakuta yangu ina alama ya Jicho " kwamba Thread ipo watched" najiuliza why threads zangu zinakuwa watched ? je zina uhatari wowote au kwa nini ziwe chini ya uangalizi mkubwa kiasi hicho?

kwa Moderator au mtu yeyote mwenye ufaham na jambo hili. maana kuna kipindi ilikuwa nikiweza thread inakuwa pending hata siku nzima sijui inajadiliwa kwanza kwenye vikao au vipi na inaweza isiruhusiwe kabisa kuwepo au ikaja ruhusiwa kesho yake. wakat mwingine inaenda fichwa huko kunako... hasa threads za kisiasa na intellejensia. haya mambo yananipa maswali mengi. najikuta sometime labda niwe nashinda MMU tu. nako kuna bore kuna corrupt mind tu hamna la maana.
 
Ok. Nlidhani sasa inanitambulisha kwa watu kuwa mimi ni freemason. Sipendi watu wajue hilo.nataka iwe siri tu.

Alama ya Jichk maana yake na wewe ni mmoja wa Viewer was hiyo thread.
 
hilo jicho lipo kwenye adobe na kwenye noti ya mmarekani huwenda nao wanaangakiaga thread zako humu
 
Ni kweli ndugu yangu. Inashangaza sana mtu kuwaza mambo machafu wakati wote. Ananitukana mimi nmemzidi umri,elimu,uwezo,akili, na mambo mengi sana. Nashangaa anawezaje fanya hilo. Lakini kama ulivyosema malezi mabaya ya upande mmoja.

Vijana waliolelewa na mzazi mmoja hafu akawa anamtusi sana ndo zao walishazoea kuwatukana ndugu na wazazi wao wanaona kila mtu ni kumtusi tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom