Tusaidiane hili la PPF, NSSSF na NSSF

Tusaidiane hili la PPF, NSSSF na NSSF

Mimi nilikua ppf nikaacha kazi,kupata kazi nikaa amia nssf Sasa hivi nimeacha kazi najaribu kufatilia mafao yangu wananiambia ppf wananiambia yatahamishiwa nssf
 
Ni kweli sekta binafsi wote wanahamia NSSF unawapa namba yako uliokuwa unatumia PPF wanai convert wanakupa namba mpya ya NSSF ila kuhusu madai jaribu kuomba fomu ujaze wakupe chako.
Kwani fao la kujitoa bado lipo?
 
Back
Top Bottom