Richard
JF-Expert Member
- Oct 23, 2006
- 14,963
- 20,532
endorgan ameitaka marekani kama wanataka uhusiano wamsalmishe Gulen,uturuki imeifunga airbase wanayotumia wamarekani na hakuna anaeruhusiwa kuingia ama kutoka,kumbuka hapo ndo kuna mabomu ya nuclear yakiwa chini ya wanajeshi wa marekani 1500
Cha msingi hapa ni kuelewa tu kwamba raisi Erdogan ni mhuni tu na mafia kama wengine na is getting away na cronies wake.
Huu ni mpango tu amefanya kujaribu kuhalalisha sera zake za kubinya uhuru wa kutoa maoni.
Si umesikia anataka kubadilisha katiba kurudisha "Death Penalty" kwa wale watu 3000 waliokamatwa hadi leo?
Nataka wote wanyongwe na wapotee.
Hiyo yote ni kutaka kutokomeza wale wote wanaokosoa na kuonekana tishio katika serikali yake.