Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 39,912
- 61,646
- Thread starter
- #21
ha ha ha ni kweli mkuu,ukitembea na wake za watu jiandae kufa au kulogwa...Sawa mkuu,wake za watu hapana aisee!ila Mademu za watu ni halali kwa matumizi ya wote
ha ha ha ni kweli mkuu,ukitembea na wake za watu jiandae kufa au kulogwa...Sawa mkuu,wake za watu hapana aisee!ila Mademu za watu ni halali kwa matumizi ya wote
😂😂😂😂😂 Ukiruhusu ushindani hilo lazma litokee. Piga ultimatum na uwe mkweli, mkeo aisguswe na akileta usenge unamnyoosha.Ingawa ni changamoto...itabidi mtafute suluhisho la kudumu;hawa wa nje tatizo lao wanaleta ushindani kwa bi mkubwa
Jiandae kupakuliwa nikikukuta unachombeza manzi yangu maana ni zaidi hata ya mke kwangu.Sawa mkuu,wake za watu hapana aisee!ila Mademu za watu ni halali kwa matumizi ya wote