Ikiwa tutaacha siasa na kuingia kwenye biashara kweli, tukaruhusu ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo. Kwa Afrika, Tanzania ndiyo nchi itakayokuwa na uchumi mkubwa miaka 15 ijayo.
China mwaka 1979, ilipewa fursa na Marekani, kwa China kuhamishia viwanda vyake huko chini ya mpango wa One Road Belt Initiative, China imeichagua Tanzania kuhamishia viwanda hapa.
Hii ni kutokana na mtaji wa amani tulionao. Ndivyo ilivyokuwa kwao, na sasa ni zamu yetu.
China mwaka 1979, ilipewa fursa na Marekani, kwa China kuhamishia viwanda vyake huko chini ya mpango wa One Road Belt Initiative, China imeichagua Tanzania kuhamishia viwanda hapa.
Hii ni kutokana na mtaji wa amani tulionao. Ndivyo ilivyokuwa kwao, na sasa ni zamu yetu.