huyo ni mtuu mmoja? dah, lakini ninachofurahi huyo mzungu analipa kodi. naona mashine za EFD zinafanya kazi na hawezi kukwepa kodi labda akale dili na TRA wakati wa kulipa.
We can take you out of the bush but bush cannot take out of you!! Hiyo kawaida its not special mpaka utangaze si uliona watu walivyojaa!!😂😂
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.