Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 19,295
- 60,915
Hi guys,.hope mko poa
Tunavyoendelea kumwomba Mungu kuelekea kesho D9 basi tusisahau kula..... Haya tuanze
Ukishaweka mchele wako kwenye rice cooker au vyovyote vile utakavyoupika,. Pembeni tutaanza kupika samaki,. Kwenye sufuria yako utaanza kuweka mafuta kidogo,. vitunguu hoho na carrot kama nlivyofanya Mimi hapo
Ukishavikaanga vikiiva vizuri utaweka nyanya na chumvi kiasi then utaendelea kukaanga
Nyanya zikishaiva utaweka tomato paste kiasi utaendelea kupika dakika chache then utamweka samaki wako ambae ulishamtengeneza vizuri
Taratibu utamsambazia viungo,. Akishashikana na viungo vizuri utaongezea nazo yako ambayo ulishaichuja vizuri,.. utakoroga taratibu taratibu ili Nazi isijikate
Utaacha Kwa mda kidogo na mchuzi wako utakua tayari kama hivi
Hapo sasa unaweza ukaonja kama nilivyofanya Mimi hapo,. Na samaki wangu alikuwa sooooo tasty
Unaweza ukaserve na chochote,. Wali ugali au ndizi ila Mimi nilisave na wali wangu ambao mpaka namaliza kupika samaki ulikua umekwisha iva
You can try it,. Na uenjoy mwenywe au na familia yako😍
Tunavyoendelea kumwomba Mungu kuelekea kesho D9 basi tusisahau kula..... Haya tuanze
Ukishaweka mchele wako kwenye rice cooker au vyovyote vile utakavyoupika,. Pembeni tutaanza kupika samaki,. Kwenye sufuria yako utaanza kuweka mafuta kidogo,. vitunguu hoho na carrot kama nlivyofanya Mimi hapo
Ukishavikaanga vikiiva vizuri utaweka nyanya na chumvi kiasi then utaendelea kukaanga
Nyanya zikishaiva utaweka tomato paste kiasi utaendelea kupika dakika chache then utamweka samaki wako ambae ulishamtengeneza vizuri
Taratibu utamsambazia viungo,. Akishashikana na viungo vizuri utaongezea nazo yako ambayo ulishaichuja vizuri,.. utakoroga taratibu taratibu ili Nazi isijikate
Utaacha Kwa mda kidogo na mchuzi wako utakua tayari kama hivi
Hapo sasa unaweza ukaonja kama nilivyofanya Mimi hapo,. Na samaki wangu alikuwa sooooo tasty
Unaweza ukaserve na chochote,. Wali ugali au ndizi ila Mimi nilisave na wali wangu ambao mpaka namaliza kupika samaki ulikua umekwisha iva
You can try it,. Na uenjoy mwenywe au na familia yako😍