Tupike ugali samaki na mchicha

Tupike ugali samaki na mchicha

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
33,467
Reaction score
65,789
Hell

Kwanza osha mchicha wako vizuri mimi nime tumia mchicha wa kungo’a kule kwetu tuna uita ivyo una kuwa na michanga mingi so uoshe vizuri kisha ukate au una weza usiukate kisha weka pembeni ujichuje maji ili ukipika mchicha usiwe na maji kabisa

Baada ya hapo kataka kitunguu chakoa na karoti kisha weka anza kuupika kwa kuweka kwanza mafuta baada ya kupata moto weka kitunguu kisha kiiva weka mchicha, baada ya hapo sasa weka karoti zako juu mchicha hautakiwi kukaa sana jikoni chumvi weka kidogo tu


Baada ya hapo nika weka mafuta ya samaki na kukaanga samaki nilimtia chumvi tu sikutaka awe na viungo vingi

Baada ya hapo nikasonga ugali karibu nashushia mtindi swafiiii


Hala madrid

1761499645320.jpeg

Tukishiba twende jukwaa la siasa sasa 😁😁
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom