Tupike ugali na mlenda

Tupike ugali na mlenda

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
33,467
Reaction score
65,789
Habari

Leo nilikuwa na hamu ya ugali na mlenda basi nikaanza kukata majani ya maboga na bamia kisha nikaweka maji kidogo na magadi pamoja na chumvi kisha nikaweka jikoni na kuchanganya majani ya maboga na bamia kama unavyoona

1747934853917.jpeg

Ugali najua mnajua kuupika

1747935321895.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom