Tupike ugali na mlenda

Tupike ugali na mlenda

Jumapili iliyopita nilipika ugali na mlenda pembeni niliweka maharage ya Nazi nikinywa na maziwa mtindi 😋

Nina kawaida ya kumsaidia Bibi yenu kupika weekend ili kipaji changu cha kupika kisipotee bure 👊

Mlenda nilioandaa niliweka bamia nyingi huku majani ya maboga nikiweka machache, niliunga Karanga za kusagwa (peanut butter)

Kuna wakati nilitembelea Mpwapwa - Dodoma, nikakutana na mlenda wa kusagwa

It was the first time I had tasted it

So yummy 😋
 
Jumapili iliyopita nilipika ugali na mlenda pembeni niliweka maharage ya Nazi nikinywa na maziwa mtindi 😋

Nina kawaida ya kumsaidia Bibi yenu kupika weekend ili kipaji changu cha kupika kisipotee bure 👊

Mlenda nilioandaa niliweka bamia nyingi huku majani ya maboga nikiweka machache, niliunga Karanga za kusagwa (peanut butter)

Kuna wakati nilitembelea Mpwapwa - Dodoma, nikakutana na mlenda wa kusagwa

It was the first time I had tasted it

So yummy 😋
Eeeh! Mungu nipe mwanaume kama babu😁😁
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom