Tupike pilau la nazi

Tupike pilau la nazi

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
33,467
Reaction score
65,786
Mwakata! Ughonile! Twambombo

Leo nilikuwa na hamu ya pilau so nikasema nitafute nazi ili nipike pilau la nazi

Kuanza nikaanza kukaanga nyama na mafuta kidogo tu uku nikiwa nime changanya na kitunguu swahumu
1752077986426.jpeg

Baada ya hapo nika chukua pilau masala na birian masala nika zichanganya pamoja ili viuongo viive vzr

1752078067483.jpeg

Baada ya hapo nika chukua hoho na karoti nika weka kisha nika weka nyanya
1752078136704.jpeg

Baada ya muda nika weka mchele uchanganyike vzr
1752078182126.jpeg

Hapa nikawa naji semesha sufuria dogo ila nikawa nakaza fuvu uku naendelea kuchanganya mchele na viungo

Baada ya hapo nikachukua tui ambalo lina uvugu vugu halija chemka lina uvugu vugu na ni tui la pili nika weka

Baada ya kuweka tui ndio nikaona ni vyema kuchange sufuria nikafanya. Ivyo na kuacha maji yakakamie kidogo kisha nika chukua tui lile la kwanza na kuli tia ilia mambo yawe bam bam
1752078410337.jpeg

Baada ya muda chakula kimeiva kipo vizuri kama nilitamani kitoke
1752078626219.jpeg

Nipo tayari kutukanwa na wan jf kama kawaida
min -me kitalembwa mbwangali Evelyn Salt @Hamfull
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom