Ujumbe wako umenipa hofu sana kijana,Nafika Mimi kuchukua.Au sio 🙌 sema mwambie shem aje achukue
Afe tu yeye usiku ana nipa dozi ya kunikomoa 😂Utamuua mkeo kwa utamu..!
Ndio mambo ya kuangalia tv hayaSafi sana mkuu naona kama ilitaka kuungua kidogo🤔
Uje sasanyam nyam nyam nyam nyam nyam nyam nyam nyam nyam nyam nyam nyam nyam nyam nyam
Hatuja onana na shem mda sanaUjumbe wako umenipa hofu sana kijana,Nafika Mimi kuchukua.
Upo vizuri sana asee, jukwaa la mapishi ni mali yako kabisa bwasheeNdio mambo ya kuangalia tv haya
Usisite kutupa mrejeshoAah ngoja kesho nikitulia nitoe kitu
Mmeamua kuni kabidhi mikoba 😂Upo vizuri sana asee, jukwaa la mapishi ni mali yako kabisa bwashee
subiri iumuke vizuri,,iive vizuri ipoe vizuri,,ndo nijeUje sasa
Kabisa mkuuMmeamua kuni kabidhi mikoba 😂
😂😂😂 au siosubiri iumuke vizuri,,iive vizuri ipoe vizuri,,ndo nije
😒😒😏😏😏Hellow
Tupike keki ya kawaida ya kula tu nyumbani kwa hamu tu na maandalizi yake ni yakawaida kabisa
Kwanza tutaanza kuandaa vifaa vyetu
View attachment 3418238
Kisha tutaanza kuweka mayai matatu na kukoroga mpaka povu litoke
View attachment 3418241
Kisha nitaweka sukari kikombe kimoja kidogo ila mimi siku weka yote kuepuka sukari nyingi nayo ukiweks koroga mpaka uone mchanganyiko wako ni mzito pia mweupe
View attachment 3418243
Mchanganyiko wako uwe wa aina hii
View attachment 3418245
Baada ya hapo uta weka radha mimi nimetumia hii wewe una weza weka vanila ila mm naipenda hii keki ina kuwa ya kipekee zaidi
View attachment 3418247Ukiweka ivyo utaweka pia blue band kiasi cha kikombe kidogo ila mimi nimekadiria wewe kama sio mzoefu pima kwenye kikombe
Kisha koroka mpaka mchangiko wako uonekane smooth kabisa yaan soft
Kama hivi
View attachment 3418249
Kisha weka unga kiasi cha robo au kikombe kidogo kisha koroga tena mchanganyiko wako hakikisha hauna mabonge kabisa
View attachment 3418250
Kisha weka kwenye oven yako moto wa kawaida tu ila uwe una chungulia chungulia
View attachment 3418252
Na hii ndio keko yetu ya kula nyumbani sio ya biashara
Ndiyo maanaNdio jiko la mkaa
😂😂 umeingia chakike ukakutana na mary akiwa na jeans ngumu 😂😂😂 sio kweliOlu in Olu tumejua kwamba wewe ni mfupi kama Konde boi kupitia hiyo picha uliyoshika ladha ya Orange.
Umeme umekatika up now una fikiri ninge fanyajeNdiyo maana
Thanks sana mkuuSmart & nice.