Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,488
- 65,831
Hell
Tupike chapati za mayai za kukanda
Kwanza utaweka unga wako ulio chekechwa kwenye bakuri uta weka na blue band then chukua mayai yako yakologe pembeni kisha uweke pia the kanda kama huna blue band una weza weka mafuta ya kupikia ukipata ya alizet itakuwa poa sana
Kanda pole pole mpaka ngano yako iombe msamaha kabisa isi shike mikoni
Kisha iweke pembeni na ufunike ili ngano ipumue kama dakika tano kumi zina tosha
Baada ta hapo kata madonge yako ya chapati na usukume
Kisha fanya kama una ivuta ila isikatoke kisha ukunje vizuri
kisha anza kusukuma kwa kutengeneza duara na uziweke jikoni
Na kuweka jikoni
Baada ya hapo uta weka kwenye poti isio poza ili chapati ziwe na joto joto ata kama mtu aki chelewa kula zina kuwa na joto
Una iyoo chapati ilivyo chambuka
Andaa samaki wako vizuri mimi nimeweka karoti na viazi ili supu iwe nzito kisha nikaweka na limau
Hii saa tatu napata mlo wa asubuhi karibuni
Tupike chapati za mayai za kukanda
Kwanza utaweka unga wako ulio chekechwa kwenye bakuri uta weka na blue band then chukua mayai yako yakologe pembeni kisha uweke pia the kanda kama huna blue band una weza weka mafuta ya kupikia ukipata ya alizet itakuwa poa sana
Kanda pole pole mpaka ngano yako iombe msamaha kabisa isi shike mikoni
Kisha iweke pembeni na ufunike ili ngano ipumue kama dakika tano kumi zina tosha
Baada ta hapo kata madonge yako ya chapati na usukume
Kisha fanya kama una ivuta ila isikatoke kisha ukunje vizuri
kisha anza kusukuma kwa kutengeneza duara na uziweke jikoni
Na kuweka jikoni
Baada ya hapo uta weka kwenye poti isio poza ili chapati ziwe na joto joto ata kama mtu aki chelewa kula zina kuwa na joto
Una iyoo chapati ilivyo chambuka
Andaa samaki wako vizuri mimi nimeweka karoti na viazi ili supu iwe nzito kisha nikaweka na limau
Hii saa tatu napata mlo wa asubuhi karibuni