hapo ndo nnapoona bwana RAGE aliona mbaliMahabiki wa simba wanatumia muda mwingi kujadili mambo ya Yanga kuliko yale ya kwao!
Yaani kwa namna wanavyojadili unaweza kufikiri labda timu yao imeshafuzu! Kumbe wanasubiria tu kukamilisha ratiba. Maana uwezekano wa kuvuka hatua ya robo fainali haupo.
Mamelodi anapigwa 3-1 kwa Mkapa! Kwa Madiba yeye atashinda 2-1!Sisi simba al ahly hatuwezi kumjadili sana maana tushacheza naye sana
Tunamuongelea mgeni mpya
Kipya kinyemi
Mamelodi sundowns
Hawa ndo tunatamani kuwaona taifa
Ila yanga hawafungwi nyingi
Nawapa mamelodi 40% kushinda taifa
60% kwao
Kuhusu sisi simba na al ahly ndo mlima mgumu ulipo
Nawapa 20% al ahly kushinda taifa ila kwao 70%
Cha msingi simba akifanikiwa kushinda 2-0 taifa tumefuzu
Yanga akishinda 2-0 wamefuzu
Sawa mkuu ila goli la kwanza litadetermine tempo ya mchezo mkianza yanga basi mambo yatakua mepesi ila wakianza wao kufunga hali itakua ngumu sanaMamelodi anapigwa 3-1 kwa Mkapa! Kwa Madiba yeye atashinda 2-1!
Ila Simba kwa hii timu yenu tia maji tia maji hii safari hii kwa Al Ahly mnazioga!Sawa mkuu ila goli la kwanza litadetermine tempo ya mchezo mkianza yanga basi mambo yatakua mepesi ila wakianza wao kufunga hali itakua ngumu sana