Nimebaini sababu zilizowafanya Yanga waruhusu watu kuingia bure mzunguko vs Mamelodi Sundowns

1979Magufuli

JF-Expert Member
Feb 20, 2023
438
1,752
Yanga wameamua mashabiki waingie bure kule mzunguko ili uwanja ujae na kwa vile Rais wa CAF ni Rais wa Mamelod wakiwa na mkakati mkubwa kuwa ionekane kuwa wao wana mashabiki wengi kuliko Simba hivyo wawe wanapatiwa nafasi ya kushiriki mashindano mbalimbali ya CAF ikiwemo super league.

Wengi mnaweza msijue lakini ukweli ni kuwa wameona wakiweka viingilio kule mzunguko kutakuwa na mashimo mengi na kwa vile wanajitafuta ili kuipiku Simba kimataifa kwa kuonekana wao wana mashabiki wengi basi mzunguko watu waingie bure, hapo watakuwa wamewawini Simba.

Yaaani wao lengo Lao ni kuhakikisha Africa inatambua kuwa hapa Tanzania wao ndio wana mashabiki wengi kuliko Simba na mfano watatolea mechi na Mamelodi.

Niwaombe viongozi wa Simba wasikubali brand yao ishushwe na ujinga wa uongozi wa yanga, wawaeleze viongozi wa CAF kuwa umati huo wa mtume Muhammad S.A.W kwenye game ya Mamelodi ni mambo ya demo hayo wakati sisi mashabiki wamelipia viingilio.

Mkakati wenu nimeushtukia vilaza wakubwa nyie wa Jangwani.
 
Simba ilikuwa na sold out siku 3 kabla ya mechi ya ufunguzi ya AFL.

Benjamin Mkapa Stadium ina capacity ya watu 60K.

Simba ilijaza watu hao na kiingilio cha chini kilikuwa ni 7,000.

Wydad kupitia Mohamed V ya kule Morroco huwa anajaza full house uwanja wenye capacity ya 67,000.

Mamelody naye huwa anajaza mashabiki zaidi ya 50,000 full house kwenye mechi zake.

Pamoja na hayo yote ufunguzi ulifanyika Tanzania.

Lakini pamoja na hayo yote tuzo ya mashabiki bora ilienda kwa Simba.

Unajua kwanini?

Kwasababu hao wote wanajaza full house kwenye mechi ambazo kiingilio ni bure.

Mechi ikiwa bure unapoteza tafsiri halisi ya kwamba mpira ni hisia.

Kwenye mpira zipo dhana zinazotumika kupima mapenzi halisi ya shabiki wa mpira.

Na moja ni pamoja na shabiki huyo kuisapoti timu yake kupitia gate collection.

Sasa inapotokea mechi kubwa halafu ukaifanya bure maana yake unajenga picha kuwa timu yako haina mashabiki wenye mapenzi ya kweli kuweza kuisapoti timu yao

Au ni mashabiki ambao hawana uwezo wa ku attend hiyo mechi kwa wingi kutosheleza kujaza uwanja pasipo kuifanya bure.

Au kwa maneno mengine ni kwamba idara ya habari haina convincing power ya kuhamasisha mashabiki wawe na muamko wa kuona wajibu wao kwenye kuisapoti timu.
 
Yanga wameamua mashabiki waingie bure kule mzunguko ili uwanja ujae na kwa vile Rais wa CAF ni Rais wa Mamelod wakiwa na mkakati mkubwa kuwa ionekane kuwa wao wana mashabiki wengi kuliko Simba hivyo wawe wanapatiwa nafasi ya kushiriki mashindano mbalimbali ya CAF ikiwemo super league.

Wengi mnaweza msijue lakini ukweli ni kuwa wameona wakiweka viingilio kule mzunguko kutakuwa na mashimo mengi na kwa vile wanajitafuta ili kuipiku Simba kimataifa kwa kuonekana wao wana mashabiki wengi basi mzunguko watu waingie bure, hapo watakuwa wamewawini Simba.

Yaaani wao lengo Lao ni kuhakikisha Africa inatambua kuwa hapa Tanzania wao ndio wana mashabiki wengi kuliko Simba na mfano watatolea mechi na Mamelodi.

Niwaombe viongozi wa Simba wasikubali brand yao ishushwe na ujinga wa uongozi wa yanga, wawaeleze viongozi wa CAF kuwa umati huo wa mtume Muhammad S.A.W kwenye game ya Mamelodi ni mambo ya demo hayo wakati sisi mashabiki wamelipia viingilio.

Mkakati wenu nimeushtukia vilaza wakubwa nyie wa Jangwani.
Utapata tabu sana wiki hii! Hadi unaanzisha thread?
 
Yanga wameamua mashabiki waingie bure kule mzunguko ili uwanja ujae na kwa vile Rais wa CAF ni Rais wa Mamelod wakiwa na mkakati mkubwa kuwa ionekane kuwa wao wana mashabiki wengi kuliko Simba hivyo wawe wanapatiwa nafasi ya kushiriki mashindano mbalimbali ya CAF ikiwemo super league.

Wengi mnaweza msijue lakini ukweli ni kuwa wameona wakiweka viingilio kule mzunguko kutakuwa na mashimo mengi na kwa vile wanajitafuta ili kuipiku Simba kimataifa kwa kuonekana wao wana mashabiki wengi basi mzunguko watu waingie bure, hapo watakuwa wamewawini Simba.

Yaaani wao lengo Lao ni kuhakikisha Africa inatambua kuwa hapa Tanzania wao ndio wana mashabiki wengi kuliko Simba na mfano watatolea mechi na Mamelodi.

Niwaombe viongozi wa Simba wasikubali brand yao ishushwe na ujinga wa uongozi wa yanga, wawaeleze viongozi wa CAF kuwa umati huo wa mtume Muhammad S.A.W kwenye game ya Mamelodi ni mambo ya demo hayo wakati sisi mashabiki wamelipia viingilio.

Mkakati wenu nimeushtukia vilaza wakubwa nyie wa Jangwani.
Mnajitekenya na kucheka wenyewe, hakuna msimu ambao Simba kawazidi Yanga kwa idadi ya mashabiki kuingia uwanjani Kwa msimu. Hata kipindi Yanga hachukui ubingwa alikuwa na wastani mkubwa kuliko Simba wa mashabiki kuingia uwanjani.

Washabiki wa Yanga wanaipenda timu yao. Msimu wa 20/21 hadi Kamwaga alitaka kuandamana lakini ndiyo ukweli. Na msimu huu tuombe tena hizo takwimu za mashabiki na wastani wa mapato kwa msimu kwenye ligi. Simba wakifikia hata nusu ya mapato ya Yanga msimu huu nipigwe ban.
 
Yanga wameamua mashabiki waingie bure kule mzunguko ili uwanja ujae na kwa vile Rais wa CAF ni Rais wa Mamelod wakiwa na mkakati mkubwa kuwa ionekane kuwa wao wana mashabiki wengi kuliko Simba hivyo wawe wanapatiwa nafasi ya kushiriki mashindano mbalimbali ya CAF ikiwemo super league.

Wengi mnaweza msijue lakini ukweli ni kuwa wameona wakiweka viingilio kule mzunguko kutakuwa na mashimo mengi na kwa vile wanajitafuta ili kuipiku Simba kimataifa kwa kuonekana wao wana mashabiki wengi basi mzunguko watu waingie bure, hapo watakuwa wamewawini Simba.

Yaaani wao lengo Lao ni kuhakikisha Africa inatambua kuwa hapa Tanzania wao ndio wana mashabiki wengi kuliko Simba na mfano watatolea mechi na Mamelodi.

Niwaombe viongozi wa Simba wasikubali brand yao ishushwe na ujinga wa uongozi wa yanga, wawaeleze viongozi wa CAF kuwa umati huo wa mtume Muhammad S.A.W kwenye game ya Mamelodi ni mambo ya demo hayo wakati sisi mashabiki wamelipia viingilio.

Mkakati wenu nimeushtukia vilaza wakubwa nyie wa Jangwani.
wehu huanza namna hii polepole,wahi mirembe
 
images (1)-1.jpeg
 
Simba ilikuwa na sold out siku 3 kabla ya mechi ya ufunguzi ya AFL.

Benjamin Mkapa Stadium ina capacity ya watu 60K.

Simba ilijaza watu hao na kiingilio cha chini kilikuwa ni 7,000.

Wydad kuoitia Mohamed V ya kule Morroco huwa anajaza full house uwanja wenye capacity ya 67,000.

Mamelody naye huwa anajaza mashabiki zaidi ya 50,000 full house kwenye mechi zake.

Pamoja na hayo yote ufunguzi ukifanyika Tanzania.

Lakini pamoja na hayo yote tuzo ya mashabiki bora ilienda kwa Simba.

Unajua kwanini?

Kwasababu hao wote wanajaza full house kwakua mechi wanaweka bure.

Mechi ikiwa bure unapoteza tafsiri halisi ya kwamba mpira ni hisia.

Kwenye mpira zipo dhana zinazotumika kupima mapenzi halisi ya shabiki wa mpira.

Na moja ni pamoja na shabiki huyo kuisapoti timu yake kupitia gate collection.

Sasa inapotokea mechi kubwa halafu ukaifanya bure maana yake unajenga picha kuwa timu yako haina mashabiki wenye mapenzi ya kweli kuweza kuisapoti timu yao

Au ni mashabiki ambao hawana uwezo wa ku attend hiyo mechi kwa wingi kutosheleza kujaza uwanja pasipo kuifanya bure.

Au kwa maneno mengine ni kwamba idara ya habari haina convincing power ya kuhamasisha mashabiki wawe na muamko wa kuona wajibu wao kwenye kuisapoti timu.
Hayo hayo mashindano ya AFL
1) Mamelod alipata nafasi ya kushiriki African football league
2) Raisi wa CAF, ni raia wa Afrika kusini na pia yupo ndani ya uongozi wa Mamelod lakini mwisho wa siku Mamelod waliamua mashabiki wote waingie bure kiingilio ni jezi tu ya Mamelod katika mchezo wa Mamelod vs Wydad.
Kama hayo uliyoandika yangekuwa ni ya maana kwenye Africa football league basi Mamelod wasingekubali kuingiza mashabiki bure.
20240322_141943.jpg
 
Yaaani wao lengo Lao ni kuhakikisha Africa inatambua kuwa hapa Tanzania wao ndio wana mashabiki wengi kuliko Simba na mfano watatolea mechi na Mamelodi.
Naomba nikuite mdogo wangu kwa sababu tayari umeni prove akili yako bado inachipua kwa kujenga hoja na aina ya uwasilishaji wako, sasa turudi kwenye mada.

Kuhusu wingi wa mashabiki Yanga imeshaprove muda mrefu ndio timu yenye mashabiki wengi Africa Mashariki pengine wewe ulikua bado hujaanza kufuatilia mpira. Kwahiyo mechi na Mamelodi ni katika harakati za kuendelea kujipambanua ndani ya pitch na nje(ki management)
 

Attachments

  • images (11).jpeg
    images (11).jpeg
    38.3 KB · Views: 1
  • images (10).jpeg
    images (10).jpeg
    60.7 KB · Views: 1
  • images (9).jpeg
    images (9).jpeg
    56.7 KB · Views: 1
  • images (8).jpeg
    images (8).jpeg
    51.9 KB · Views: 1
  • images (6).jpeg
    images (6).jpeg
    61.7 KB · Views: 1
Hayo hayo mashindano ya AFL
1) Mamelod alipata nafasi ya kushiriki African football league
2) Raisi wa CAF, ni raia wa Afrika kusini na pia yupo ndani ya uongozi wa Mamelod lakini mwisho wa siku Mamelod waliamua mashabiki wote waingie bure kiingilio ni jezi tu ya Mamelod katika mchezo wa Mamelod vs Wydad.
Kama hayo uliyoandika yangekuwa ni ya maana kwenye Africa football league basi Mamelod wasingekubali kuingiza mashabiki bure. View attachment 2945712
Jibu ni moja tu

Mamelodi haina ushawishi kwa mashabiki wake, Mamelodi ni kama Azam haina fanbase

Ndio maana nimekuonesha na mifano kwa timu ziliojaza full house viwanja vyao vyene capacity kubwa kuliko ya Mkapa, lakini haikufanya wapate tuzo ya mashabiki bora.

Kwasababu ni moja tu waliongia kwenye hizo mechi waliingia bure.

Ni ngumu sana kupata kipimo halisi cha mashabiki wenye mapenzi ya kweli na timu kwa kuangalia full house ambayo ni fungulia mbwa.

Lakini kuonesha kuwa Yanga hamna passion na ku attend uwanjani hata hii ya bure pia nauhakika hamtaweza kujaza full house. Mifano ni mingi, mechi yenu na Medeama mlifanya bure na outcome tuliiona.
 
Ninachongaa Utopolo wameweka viingilio bure lakini bado wanafanya hamasa kwa mashabiki wao ili waende uwanjani.
 
Simba ilikuwa na sold out siku 3 kabla ya mechi ya ufunguzi ya AFL.

Benjamin Mkapa Stadium ina capacity ya watu 60K.

Simba ilijaza watu hao na kiingilio cha chini kilikuwa ni 7,000.

Wydad kuoitia Mohamed V ya kule Morroco huwa anajaza full house uwanja wenye capacity ya 67,000.

Mamelody naye huwa anajaza mashabiki zaidi ya 50,000 full house kwenye mechi zake.

Pamoja na hayo yote ufunguzi ukifanyika Tanzania.

Lakini pamoja na hayo yote tuzo ya mashabiki bora ilienda kwa Simba.

Unajua kwanini?

Kwasababu hao wote wanajaza full house kwakua mechi wanaweka bure.

Mechi ikiwa bure unapoteza tafsiri halisi ya kwamba mpira ni hisia.

Kwenye mpira zipo dhana zinazotumika kupima mapenzi halisi ya shabiki wa mpira.

Na moja ni pamoja na shabiki huyo kuisapoti timu yake kupitia gate collection.

Sasa inapotokea mechi kubwa halafu ukaifanya bure maana yake unajenga picha kuwa timu yako haina mashabiki wenye mapenzi ya kweli kuweza kuisapoti timu yao

Au ni mashabiki ambao hawana uwezo wa ku attend hiyo mechi kwa wingi kutosheleza kujaza uwanja pasipo kuifanya bure.

Au kwa maneno mengine ni kwamba idara ya habari haina convincing power ya kuhamasisha mashabiki wawe na muamko wa kuona wajibu wao kwenye kuisapoti timu.
Hapo kwa Mamelodi umesema uongo, mechi zao ni bure na hawajazi uwanja
 
Jibu ni moja tu

Mamelodi haina ushawishi kwa mashabiki wake, Mamelodi ni kama Azam haina fanbase

Ndio maana nimekuonesha na mifano kwa timu ziliojaza full house viwanja vyao vyene capacity kubwa kuliko ya Mkapa, lakini haikufanya wapate tuzo ya mashabiki bora.

Kwasababu ni moja tu waliongia kwenye hizo mechi waliingia bure.

Ni ngumu sana kupata kipimo halisi cha mashabiki wenye mapenzi ya kweli na timu kwa kuangalia full house ambayo ni fungulia mbwa.

Lakini kuonesha kuwa Yanga hamna passion na ku attend uwanjani hata hii ya bure pia nauhakika hamtaweza kujaza full house. Mifano ni mingi, mechi yenu na Medeama mlifanya bure na outcome tuliiona.
Basi kumbe fan base sio kigezo mojawapo cha kushiriki mashindano ya African football league. Mleta uzi basi kachemka Yanga hana sababu ya kumshawishi raisi wa CAF aone washabiki ni wengi ili ipate nafasi ya African football league.
 
Back
Top Bottom