siogopi kazi
jaribu kuacha kazi uone ilivokazi kupata kazi
siogopi kazi
hahahahahah..........Kama unaharaka shuka ukimbie(dala dala)
Unacheka baba ako analo..
Hapana aisee hapo ume2danganya, wanaume kibao wamesingiziwa mimba...Inawezekana ulimnukuu vibaya. UKWELI NI KWAMBA MWANAMKE NDIYE AMBAYE HUWA HASINGIZIWI MIMBA KWASABABU YEYE NDIYE MBEBAJI.mwanaume hasingiziwi mimba-MPOKI
"hata kimoyo moyo utaisoma tu"