Me nawakumbuka sana wa primary.......mmoja nilikua namwita sendezi(hawez sema sentensi)
mh! huyo simfaham labda " A map"Usishangae mkuu, unamfahamu mwalimu aliyekuwa na jina la utani la BICHWA LA SIAFU?.
The unseen is illustrated by the seen.
mh! huyo simfaham labda " A map"
Huyo BICHWA LA SIAFU alikuwa mwalimu wa geo kwa A level, na alipewa jina hilo kwa kuwa alikuwa akiongea huku anatikisa kichwa.
The unseen is illustrated by the seen.
Mwl Tokyo; Pande za Azania alikua anapenda kuvaa zile suruali za Tokyo.Kilaza-mwl. wa geo, 2mbo-mwl. wa eng.