Tupeni Chetu - Roma Mkatoliki

Meja Jenerali Isamuhyo

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
3,477
Reaction score
10,339
Ijumaa ya leo tarehe 18/08/2023 Msanii maarufu kwenye nyimbo zinazogusa maisha halisi ya Watanzania, Roma Mkatoliki ataachia wimbo wake uuitwao “Tupeni Chetu.”

Wimbo huu utagusia suala zima la bandari ambalo ndio jambo linalojadiliwa zaidi hapa nchini kwa sasa.

Kaa mkao wa kutega sikio muda wowote kuanzia sasa ngoma itakuwa hewani, matarajio yako ni yapi?

 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…