Tupeane yanayojiri DUCE kwenye usaili wa PPF

Tupeane yanayojiri DUCE kwenye usaili wa PPF

nlienda udom mwaka flan eti unaulizwa,maalizia methali hii"pole pole......" afu unashangaa eti mtu amefeli duh,leo mim ndiyo mwisho kabisa kwenda written interview
.
 
Niliwahi kufanya interview na Tanesco ilikuwa written ukwel wako smart sanaa!! Ilikuwa too professional na oral yao pia ilikuwa too professional!! Sijawahi kujuta kuifanya hiyo interview maana ilikuwa imeandaliwa vizuri sanaa unapita kwa uwezo wako
 
Nssf waliita mara mbili au tatu ya hawa but walikuwa smart ktk mda PPF WAMENIBOAAAAAAAA
 
ivi majibu wanatoa lini na watatoa kwa mtindo gani maana mi binafsi nimetokea Arusha
 
ivi majibu wanatoa lini na watatoa kwa mtindo gani maana mi binafsi nimetokea Arusha

nilijaribu kumuuliza msailii mmoja mle ndani akaniambia kuwa matokeo ya mtihani ule yatatoka baada ya wiki moja na watakaofaulu watatumiwa wito wa usaili wa mahojiano kupitia barua pepe na namba za simu kama walivyofanya awali.
 
ivi majibu wanatoa lini na watatoa kwa mtindo gani maana mi binafsi nimetokea Arusha

vuta subira mdau kuna wenzetu pia wametokea Kigoma, Kagera, Songea na kwingineko wamekuja kuhudhuri usaili.
 
Aseee... katka intrvw ambazo nmewai kufanya...kiukwel precision air wapo wel organized mpk raha..
 
Jamani ajira ngumu, si mnaona nafasi moja tu ya kazi ya urais waombaji kibao, tena wengi wanatoka familia moja.
Joke.
 
Maandalizi yao ni hafifu sana asee,hata list za majina hawakuandaa,yaani simple hata mamluki kuzamia kupiga interviw
 
Dah ppf waliita watu kamaa 2500 na.....hv i thnk lile changa la macho2 kuna wa2 walshapangwa Lol!.
 
watu 2500 kwa post moja au post zote jumla watu waliowaita ni 2500?

mkuu kama ulisha wahi fanya interview za mifuko ya jamii mingine kama NSSF wale tuliokua PPF duce pale mbona kidogo sana ila tu wahusika PPF hawakujiandaa kabisa huo ndio ukweli bila kificho
 
Back
Top Bottom