Tupeane yanayojiri DUCE kwenye usaili wa PPF

Tupeane yanayojiri DUCE kwenye usaili wa PPF

Kiukweli watu ni wengi sana,jamaa wa ppf ndiyo wameingia na V8 jeupe limepaki hapa kizota wanaenda kucheki utaratibu,duh hii nyomi ni balaa
 
Kiukweli watu ni wengi sana,jamaa wa ppf ndiyo wameingia na V8 jeupe limepaki hapa kizota wanaenda kucheki utaratibu,duh hii nyomi ni balaa

Mkuu hiyo nyomi hapo mnaweza kufika wangapi? tujifikirie na sisi kuja au kutokuja!
 
Mkuu hiyo nyomi hapo mnaweza kufika wangapi? tujifikirie na sisi kuja au kutokuja!

Kwa haraka haraka mkuu ni 800,ila watu bado wanakuja,wengine wanafananisha hli nyomi na TRA pale Diamond Jubilee
 
Mkuu hiyo nyomi hapo mnaweza kufika wangapi? tujifikirie na sisi kuja au kutokuja!

Mkuu kwa nn usifike!?? Wewe ndo mtuu sahihi kwa nafasi uliyoomba...sasa unazan nafasi yako atapewa nani!??

Katika Jina la Mungu aliye juu, naharibu roho zote za kukata tamaa...Amina
 
Duh hatareee kwani Leo post ipi na ipi?...mie mchana post ni member care trainee
 
kuna interview saa2 asubuhi,kuna saa5 asubuhi na saa9 mchana kazi kwenu,muda wa interview 50min.
 
Mkuu kwa nn usifike!?? Wewe ndo mtuu sahihi kwa nafasi uliyoomba...sasa unazan nafasi yako atapewa nani!??

Katika Jina la Mungu aliye juu, naharibu roho zote za kukata tamaa...Amina

Mkuu mimi nko shift ya mchana operation trainee ndio maana nahitaji kujua yanayo jiri huko na hilo nyomi ila nakuahidi nitapigana mungu mkubwa sitokata tamaa!
 
kama herufi ya jina lako unaanzia na A-H wameingia tayari kwa kupewa kitu,wanaingia kwa herufi za majina ya kwanza.
 
Kuna watu waliitwa kwenye usail? au kila mmoja mwenye uhitaji?
 
jamani msikatishane tamaa... ata kama watu ni wengi jipe moyo hiyo ni nafasi yako!!!! msiache kwenda kwenye usaili
 
sioni kama idara ya hr ya PPF ina umuhimu, hv raisi na viongoz husika wanaliona kweli....hapa bado vimemo vya wakubwa
 
usumbufu huu, sawa wametangaza wale ambao bado awajamaliza degree na waliomba kutumia matokeo ya yasiokamilika watoke nje, watu ndo wanatoka....kwa nn mliwaita?
 
But people hivi hizi interview hadi watu wa marketing position maana me wamenichinja juu hata sielewi
 
Back
Top Bottom