Chimemena
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 1,376
- 454
nafasi 8 watu 1400,hawa jamaa safi sana,afu hawaendi na muda kabisa!
muhimu ni kujipa moyo tu hata kama mambo yanaonekana kuwa magumu kupindukia.
nafasi 8 watu 1400,hawa jamaa safi sana,afu hawaendi na muda kabisa!
Mkuu hiyo nyomi hapo mnaweza kufika wangapi? tujifikirie na sisi kuja au kutokuja!
Najiandaa niende
mmmhhh..japo inakatisha tamaa
Kuna watu wengi sana na bado wanazidi kuongezeka.
kukata tamaa ni mwiko mwali, nenda kila mtu bahati yake anatembea nayo....
Najuta kuja hii interview yaaani daah!
unaanzaje kujuta sasa?? usikate tamaa we fanya tu you never know...ujue kuna watu wameomba na hawajaitwa na walitamani wawepo so usipoteze hiyo nafasi
Intake ya pili tumejipanga mstari tayari kwa kukaguliwa vyeti na kuingia ndani ya ukumbi japo wale asubuhi bado hawajamaliza.
Kumbe upo eneo la tikio mkuu chitemo...tupe update sa wanataka vyeti original kwa interview ya written kweli..dah hii kali mara nyingi vyeti ni interview ya oral
kwa uzoefu wa usaili niliofanya mara nyingi pale PSRS, huwa wanahitaji vyeti orignal tangu hatua ya kwanza kabisa mpaka mwisho.
Intake ya pili bado hatujaanza kuingia ndani kwani wale wa asubuhi nao bado hawajamaliza usaili wao mpaka muda huu.