IKIRIRI
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 2,734
- 3,028
Nakumbuka nilikuwa namawazo sana nafikiria huyu binti atakubali kweli?
Kipindi hiko maisha magumu kinoma niliwaza pesa ya kishere kidogo naitoa wap??
Nashukuru Mungu ilipita salama gharama haikuzidi 100000/=
Nakumbuka baada ya ndoa nilihisi kuna mzigo nimeutua..
VP we ilikuwaje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kipindi hiko maisha magumu kinoma niliwaza pesa ya kishere kidogo naitoa wap??
Nashukuru Mungu ilipita salama gharama haikuzidi 100000/=
Nakumbuka baada ya ndoa nilihisi kuna mzigo nimeutua..
VP we ilikuwaje?
Sent using Jamii Forums mobile app