Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 4,007
- 5,446
Hana mda mrefu humu jukwaaJambazi IGP anakutishia amani
Hana mda mrefu humu jukwaaJambazi IGP anakutishia amani
wauawa kimyakimyaWasalamu,
Taarifa ziwafikie vibaka ,majambazi na wamiliki wao Mama anashughulika na ninyi kimya kimya.
IGP ameapa kufa kupona na ninyi mkakati uliopo ni hatari na umeshaanza kufanya Kazi.
Nawashauri mtafute shughuli nyingine hata kuuza karanga.
Last seen ilikua ijumaaHana mda mrefu humu jukwaa
Imbombo ngafu naloliIGP ameapa kufa kupona na ninyi mkakati uliopo ni hatari na umeshaanza kufanya Kazi.
Nawashauri mtafute shughuli nyingine hata kuuza karanga.
Wapi huko?Kuna mtu huku walimuua wakatumia damu yake ukutani wakaandika kazi iendelee.
Wasalamu,
Taarifa ziwafikie vibaka ,majambazi na wamiliki wao Mama anashughulika na ninyi kimya kimya.
IGP ameapa kufa kupona na ninyi mkakati uliopo ni hatari na umeshaanza kufanya Kazi.
Nawashauri mtafute shughuli nyingine hata kuuza karanga.
Itakua chato....Wapi huko?
, Mimi nikitaka kukujua wew naenda kupata taarifa kitaani kwenu. Nadhani ndivyo polisi wanavyo wakamataga hawa jamaa hata kama wamelay low kwa wakat huo.Nalilaumu Jeshi letu la polisi kwa kutangaza swala hili badala ya kufanya kimya kimya. Wangekuwa na nia ya kudhibiti uhalifu wangefanya kwa Siri nakuwavamia.
Hakuna jambazi mpumbavu wa kutekeleza uhalifu kizembe ilihali ameshasikia parapanda Italia kwa miezi mitatu mfululizo. Badala yake majambazi wataongeza umakini au kubadili mbinu za uhalifu.
Nashawishika kusema huwenda polisi ni waoga ndiyo maana wanatanguliza tangazo ili majambazi wajifiche au baadhi Yao wanafaidika na uhalifu unaofanywa na majambazi.
Waache yawakute ndo wataelewawauawa kimyakimya
Ahhhhhgh basiii Kazi kwishaLast seen ilikua ijumaa
Yes washaaanza kula vyuma ,wawili walikimbilia TARIME ,kwasasa wapo JEHANAMU washakula vyuma tayari.Wasalamu,
Taarifa ziwafikie vibaka ,majambazi na wamiliki wao Mama anashughulika na ninyi kimya kimya.
IGP ameapa kufa kupona na ninyi mkakati uliopo ni hatari na umeshaanza kufanya Kazi.
Nawashauri mtafute shughuli nyingine hata kuuza karanga.
We tulia uusome mchezo.... Alafu wale wadudu kumi na tisa ni spishi nyingine hawezi kuingilia kichwa kichwaVipi wale wanaojiliwaza mamilioni ya pesa kwa kazi maalumu hewa? Vipi wale wabunge wa chama hewa? Na wa namna hiyo.
Kamanda Sirro au mama wana lolote jipya kuwahusu?
Ni vyuma kwa kwenda mbeleeee mzeeYes washaaanza kula vyuma ,wawili walikimbilia TARIME ,kwasasa wapo JEHANAMU washakula vyuma tayari.
Dawa ya kumaliza ujambazi ni KUWAPA VYUMA TU hakuna njia nyingine.
Ni vyuma kwa kwenda mbeleeee mzee
hawajatanguliza tangazo vichwa vimeshaliwa tayariNalilaumu Jeshi letu la polisi kwa kutangaza swala hili badala ya kufanya kimya kimya. Wangekuwa na nia ya kudhibiti uhalifu wangefanya kwa Siri nakuwavamia.
Hakuna jambazi mpumbavu wa kutekeleza uhalifu kizembe ilihali ameshasikia parapanda Italia kwa miezi mitatu mfululizo. Badala yake majambazi wataongeza umakini au kubadili mbinu za uhalifu.
Nashawishika kusema huwenda polisi ni waoga ndiyo maana wanatanguliza tangazo ili majambazi wajifiche au baadhi Yao wanafaidika na uhalifu unaofanywa na majambazi.
Isiishie tu kukamata waonekane pia mahakamani na vizibiti ubaoni isiwe kuonea wapita njia