Tupeane updates ya miradi iliyokwama kumalizika kutoka sehemu mbalimbali

Hahaha, Mimi sijawahi kuupenda utawala wa waovu, nifuatilie kuanzia 2015 mpaka Feb 2021! Kwa sasa naamini mama atatupeleka mahali, hawa waimba mapambio hawajawahi kuwa jamaa zangu! Swali moja Mkuu unadhani muovu angekuwa madarakani tungepata hizi updates za mahakamani? Au wale wazungu angeruhusu wahudhurie kwa courts?
Kweli mazuzu hawatoisha. Hizo updates na wazungu kuhudhurua mahakamani ndio itawaletea umeme na maji ndugu zako kule tandahimba?

Nenda kijijini kweli ulipotoka waambie nchi inaenda vizuri hata wazungu wanahudhuria mahakamani. Kisha tuambie watakujibu nini.
 
Kweli mazuzu hawatoisha. Hizo updates na wazungu kuhudhurua mahakamani ndio itawaletea umeme na maji ndugu zako kule tandahimba?

Nenda kijijini kweli ulipotoka waambie nchi inaenda vizuri hata wazungu wanahudhuria mahakamani. Kisha tuambie watakujibu nini.
Nani alipeleka maji Tandahimba? Huyo jamaa yenu?
 
Uzi huu utakuwa maalumu kwa kupeana taarifa za miradi mbalimbali inayosuasua au iliyokwama kumalizika ujenzi wake ili kusaidia kuiamsha serikali iweze kutupia jicho kwenye hiyo miradi iweze kuisha na kuwa msaada mkubwa kwa watanzania.

1.Niko mkoa wa Simiyu wilaya ya Maswa. kijiji cha Mwabayanda kuna bonge la zahanati lakini umaliziwaji wake unasuasua na inadaiwa na wenyeji wa hapa kuwa kandarasi haonekani site kwa muda mrefu sasa.
3.Pia kule jimbo la Mtama mkoa wa Lindi madiwani wamelalamikia ujenzi wa hospitali ya wilaya umekwama kuisha licha ya pesa zote zaidi ya millioni 500 kupelekwa!.
4.Licha ya serikali kupitia naibu waziri wa ujenzi mh Mwita Waitara kukanusha kuwa ujenzi wa barabara ya njia 8 kutoka Kimara hadi Kibaha haujakwama kukamilika lakini wakazi wa pembeni mwa barabara hiyo wamesema hawajawahi kumuona kandarasi anayejenga barabara hiyo kwa miezi 2 sasa!!



Mradi mkubwa no 1 uliokwama ktk nchi yetu ni mchakato wa kupata katiba mpya.
Mradi huu umesimama toka enzi ya kikwete mpaka sasa.

Mradi huu ni mradi mama na umechukua pesa nyingi za wavuja jasho.

Nashauri
Kama wanavyochukuliwa hatua wanaokula fedha za miradi mingine nao walioharibu mradi huu na kula pesa zake wachukuliwe hatua za kisheria

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Miradi mingine ikweme tu, kama ile ya Chato, mingi haistaili kuwepo pale, yaani majengo makubwa, kuhudumia watu wachache, wakati kwenye watu wengi majengo hadhi duni, jamaa kwa kujipendelea hakuwa na aibu! Ingawa ni jambo la aibu!
 
Mradi mkubwa no 1 uliokwama ktk nchi yetu ni mchakato wa kupata katiba mpya.
Mradi huu umesimama toka enzi ya kikwete mpaka sasa.

Mradi huu ni mradi mama na umechukua pesa nyingi za wavuja jasho.

Nashauri
Kama wanavyochukuliwa hatua wanaokula fedha za miradi mingine nao walioharibu mradi huu na kula pesa zake wachukuliwe hatua za kisheria

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Ulikwama baada ya timu gaidi kutoka nje kwenye bunge la katiba
 
Ajira zaidi ya elfu 7000 ndani ya miezi 6, SGR kipande cha Dar moro 99% completed, mwanza isaka mradi umeanza , Mwalimu Nyerere Hydro powe 60% completed, vituo vya Afya 400 vinamaliziwa kujengwa , shule shikizi na madarasa elfu 15 haijawahi kutokea ujenzi unaendelea. Mama samia anaupiga mwingi sana. Marehemu alale panapostahili.
Mkubwa hizi shule shikizi ni zipi? Huwa nasikia sana siku hizi lkn maana sijui.
 
Mkubwa hizi shule shikizi ni zipi? Huwa nasikia sana siku hizi lkn maana sijui.
Shule shikizi ni shule ambazo hazijawa rasmi kwamaana ya usajili kwahiyo wananchi wanazianzisha lakini hazina madarasa ya kutosha wala madawati. Kwahiyo serikali imetoa fedha kuhakikisha hizi shule zinajengewa madarasa ya kutosha na kusajiliwa rasmi.
 
Ajira zaidi ya elfu 7000 ndani ya miezi 6, SGR kipande cha Dar moro 99% completed, mwanza isaka mradi umeanza , Mwalimu Nyerere Hydro powe 60% completed, vituo vya Afya 400 vinamaliziwa kujengwa , shule shikizi na madarasa elfu 15 haijawahi kutokea ujenzi unaendelea. Mama samia anaupiga mwingi sana. Marehemu alale panapostahili.
Mswahili bila mjeredi atakamalishaje mradi sasa.
 
Kilichoshindikana ni Trillion 1.5 hazijulikani zilipotelea wapi kwenye ile white elephamt project vichakani Chattle
 
Miradi ya upendeleo ya usukumani lazima isimame kwa kuwa haikuwa ya kimkakati. Kama zahanati yenu haijakamilia ina maana hamkukamilisha ujenzi wa boma kama walivyofanya wengine.
 
Mm mkuu ajira 2016 hadi 2020 kwenye taasisi za serikali ni kama hazikuwepo ukilinganisha na mahitaji ya taifa.
Kuna wanaosema kuwa miradi ilikuwa inatekelezeka average by 20% !!! sababu ya ukata.
Lakini kama Magufuli government ilikopa sana tena kwenye private bank wakati wa kipindi chanke ni wazi riba ni kubwa kuliko benki au taasisi za Fedha kama World Bank,IMF,ADB,au Paris Club.
Hizo pesa 29 Trillion shillings zilikwenda wapi? Kwani miradi mikubwa ilikuwa tunalipa kwa installments tena kidogo kidogo,huku tuliambiwa tunatumia kodi zetu!.
Tujiandae kisaikologia hakutakuwa na maisha afueni labda 2024 and onwards.
Magufuli labda angetupa jipu kwanini alienda opposite na Finance Management Protocol, lakini hayupo.
 
Kweli mazuzu hawatoisha. Hizo updates na wazungu kuhudhurua mahakamani ndio itawaletea umeme na maji ndugu zako kule tandahimba?

Nenda kijijini kweli ulipotoka waambie nchi inaenda vizuri hata wazungu wanahudhuria mahakamani. Kisha tuambie watakujibu nini.
Huyo jamaa ni jinga kabisa alafu ukute ata naye ni baba wa familia .
 
Uzi huu utakuwa maalumu kwa kupeana taarifa za miradi mbalimbali inayosuasua au iliyokwama kumalizika ujenzi wake ili kusaidia kuiamsha serikali iweze kutupia jicho kwenye hiyo miradi iweze kuisha na kuwa msaada mkubwa kwa watanzania.

1.Niko mkoa wa Simiyu wilaya ya Maswa. kijiji cha Mwabayanda kuna bonge la zahanati lakini umaliziwaji wake unasuasua na inadaiwa na wenyeji wa hapa kuwa kandarasi haonekani site kwa muda mrefu sasa.

3.Pia kule jimbo la Mtama mkoa wa Lindi madiwani wamelalamikia ujenzi wa hospitali ya wilaya umekwama kuisha licha ya pesa zote zaidi ya millioni 500 kupelekwa!.

4.Licha ya serikali kupitia naibu waziri wa ujenzi mh Mwita Waitara kukanusha kuwa ujenzi wa barabara ya njia 8 kutoka Kimara hadi Kibaha haujakwama kukamilika lakini wakazi wa pembeni mwa barabara hiyo wamesema hawajawahi kumuona kandarasi anayejenga barabara hiyo kwa miezi 2 sasa!!



Kandarasi maana yake ni mkataba, na mkandarasi kwa kihaya anaitwa mkandarasi, sasa unaposema kandarasi hayupo site hueleweki jomba

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Ring road 'ya ndani' Dodoma imekwenda na mwendazake...wananchi wameshaambiwa waendelee na miradi yao ktk maeneo ring road ilikotarajiwa kupita.

Mama anaupiga mwingi sana!.
 
Ajira zaidi ya elfu 7000 ndani ya miezi 6, SGR kipande cha Dar moro 99% completed, mwanza isaka mradi umeanza , Mwalimu Nyerere Hydro powe 60% completed, vituo vya Afya 400 vinamaliziwa kujengwa , shule shikizi na madarasa elfu 15 haijawahi kutokea ujenzi unaendelea. Mama samia anaupiga mwingi sana. Marehemu alale panapostahili.

Sifahamu sana kuhusu hayo mengine lakini tuzungumzie madarasa 15k!! Wti haijawahi kutokea, kipi hasa - kutumia pesa za mkopo unaotokana na ugonjwa wa corona au kujenga shule kwa kutumia fedha za ndani??

Sijui ungesemaje kama tungekuwa tunajenga kwa “fedha za ndani”!!?? Nitaomba mrejesho hata tu tukiweza kujenga madarasa 10k. Michwa wamerudi kwa kasi!!
 
Sifahamu sana kuhusu hayo mengine lakini tuzungumzie madarasa 15k!! Wti haijawahi kutokea, kipi hasa - kutumia pesa za mkopo unaotokana na ugonjwa wa corona au kujenga shule kwa kutumia fedha za ndani??

Sijui ungesemaje kama tungekuwa tunajenga kwa “fedha za ndani”!!?? Nitaomba mrejesho hata tu tukiweza kujenga madarasa 10k. Michwa wamerudi kwa kasi!!
Angalia ulivo na chuki yaani unaomba madarasa yatakayojengwa yaliwe na mchwa? Halafu kwa taarifa yako tu magufuli ndio rais aliyekopa mikopo mikubwa tangu nchi ipate uhuru kaacha deni la trillion karibu 80
 
Ring road 'ya ndani' Dodoma imekwenda na mwendazake...wananchi wameshaambiwa waendelee na miradi yao ktk maeneo ring road ilikotarajiwa kupita.

Mama anaupiga mwingi sana!.
Ring road ni muhimu sana Dodoma kuepusha msongamano wa miaka ijayo
 
Back
Top Bottom