lutajangurwa
Senior Member
- Sep 21, 2019
- 126
- 172
Wandugu, bado kuna shida ya kupata control number. Tetesi ni kwamba, kuna baadhi ya waombaji walisogea karibu na jengo la bodi, wakidhani kwamba pale ndipo mtandao utajibu haraka.
Wengine wamehangaika kubadili line zao kuwa 4G, lakini wapi. Hivi ni kweli sever imezidiwa au ni nini hasa! Na je mbona bodi haijitokezi kutoa ufafanuzi?
Wengine wamehangaika kubadili line zao kuwa 4G, lakini wapi. Hivi ni kweli sever imezidiwa au ni nini hasa! Na je mbona bodi haijitokezi kutoa ufafanuzi?