Tupeane possible za written Interview TRA

Tupeane possible za written Interview TRA

Hahahhahahhahahhaahahha

Sent from my iPhone 8 using JamiiForums mobile app
 
Hamna aliyefanya revenue interview jamani maswali yao yalikuwaje wao. Na yeyote anaefanya kesho tax at least tupeane vitu possible vinavyohusiana
 
hahahaha wewe umewaingiza chakaa,,,
 
Haya mambo ya kujianika Kwenye mitandao Ndiyo yanayowaponza na kuletewa mitihani ambayo ni migumu sana!
 
Hivi assume hayo mlotaja Kama Kweli Yamo unazani wao baadhi Yao hawako informed mnayojadili, Lengo Lao ni kupunguza wafu sasa wafu wote mkijua yaliyomo watafikiaje Lengo la kuwapunguza! Ila endeleeni mwaya yamkini itawasaidia!
 
Mods please msifute huu uzi,this is not a leak ni mawazo tu yakujadiliana hapa na wadau.

Fahamu TRA imeanzishwa lini na kwa sheria ipi na imeanza kazi lini.
Soma kuhusu Corporate Plan yao ya 4 ya 2013/14-2017/18,hapa utakutana na mambo kama Mission,Vision,Themes and Perspectives.Pitia kwa juu juu plans zilizopita nyuma ujue malengo yake,mafanikio na changamoto zao.Uelezee pia kwamba hii plan imekwenda sambamba na maono ya maendeleo ya kitaifa na kimataifa kama MDGs,Vision 2025,NSGRP II,MKUZA II,KILIMO KWANZA,BRN and FYDP 2011-2016

Organisation Structure yao lazima uijue,Boards na Standing Committees,Directors and their deputies,commissioner general and deputy.Departments zote kama Domestic Revenue,Large Taxpayers and its sub departments.Hii itakusaidia kujua haswa TRA wamejipangaje.Mfano Customs and Excise Department kuna Deputy Commissioners wanaosimamia Trade facilitation and procedures,Risk management and modernisation,Compliance and Enforcement pamoja na TRA Zanzibar.

Wafahame wadau wao kama mlipa kodi mwenyewe,taasisi za kifedha ,wizara, idara, wakala mbalimbali wa serikali n,k

Ijue pia taxpayers Charter,mwongozo unaoonyesha wajibu na haki katika huduma mbalimbali anazopata mteja toka kwa TRA.

Fahamu services which are provided kama tax assessment,collection and accounting,training n.k

Kikubwa zaidi ujue kuhusu all types of taxes wanazodeal nazo,kuanzia income tax ,skills and development levy,corporate tax ,PAYE,withholding tax mpaka stamp duty,pia fahamu Acts tofauti tofauti kwa juu juu kama East Africa Community Customs Management Act 2004.

Pia usisahau kujikita zaidi katika ile post yako uliyoomba na usome pia duties and responsibilities.Kwa mfano kama umeomba customs officer basi ujitahidi hata uwe na idea kuhusu import and export procedures n,k

Chanzo www.tra.go.tz
TRA ndio wanaenda kupiga Penalt. Kupitia uzi huu wameshajua kipa anajiandaa kuruka upande upi, hivyo kazi ya "kumuuza" kipa itakua rahisi sana
 
Mods please msifute huu uzi,this is not a leak ni mawazo tu yakujadiliana hapa na wadau.

Fahamu TRA imeanzishwa lini na kwa sheria ipi na imeanza kazi lini.
Soma kuhusu Corporate Plan yao ya 4 ya 2013/14-2017/18,hapa utakutana na mambo kama Mission,Vision,Themes and Perspectives.Pitia kwa juu juu plans zilizopita nyuma ujue malengo yake,mafanikio na changamoto zao.Uelezee pia kwamba hii plan imekwenda sambamba na maono ya maendeleo ya kitaifa na kimataifa kama MDGs,Vision 2025,NSGRP II,MKUZA II,KILIMO KWANZA,BRN and FYDP 2011-2016

Organisation Structure yao lazima uijue,Boards na Standing Committees,Directors and their deputies,commissioner general and deputy.Departments zote kama Domestic Revenue,Large Taxpayers and its sub departments.Hii itakusaidia kujua haswa TRA wamejipangaje.Mfano Customs and Excise Department kuna Deputy Commissioners wanaosimamia Trade facilitation and procedures,Risk management and modernisation,Compliance and Enforcement pamoja na TRA Zanzibar.

Wafahame wadau wao kama mlipa kodi mwenyewe,taasisi za kifedha ,wizara, idara, wakala mbalimbali wa serikali n,k

Ijue pia taxpayers Charter,mwongozo unaoonyesha wajibu na haki katika huduma mbalimbali anazopata mteja toka kwa TRA.

Fahamu services which are provided kama tax assessment,collection and accounting,training n.k

Kikubwa zaidi ujue kuhusu all types of taxes wanazodeal nazo,kuanzia income tax ,skills and development levy,corporate tax ,PAYE,withholding tax mpaka stamp duty,pia fahamu Acts tofauti tofauti kwa juu juu kama East Africa Community Customs Management Act 2004.

Pia usisahau kujikita zaidi katika ile post yako uliyoomba na usome pia duties and responsibilities.Kwa mfano kama umeomba customs officer basi ujitahidi hata uwe na idea kuhusu import and export procedures n,k

Chanzo www.tra.go.tz
Hawa hawaulizi maswali ya namna hii wanauliza current issue na maswali ya darasan na makazini the applicabilit. Maswal ya namna hii labda Tanapa unaweza ukakuta hata swal moja lkn si hawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom