king Chuga
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 510
- 52
kichwa cha habari hapo juu kinajieleza sio matango pori.
Watoto wanamtihani wanashinda jf...discuss
Naamini hukuzimia kwenye chumba cha mtihani.Nakumbuka wakati niko form 6 tulipeana hayo Matango pori halafu hata swali moja hatukukuta.
Jadili matatizo ya fasihi simulizi katika uwasilishaji ukitoa mifano kuntu kutoka fasihi ya kiswahili
Naamini hukuzimia kwenye chumba cha mtihani.
Sie wengine kipindi tupo olevel tulikuwa tunaogopa kuingia JF.Posible ni kusoma kila kitu.
Haswaahahaha mifano kuntu..........like with concrete evidence???????
Nakumbuka wakati niko form 6 tulipeana hayo Matango pori halafu hata swali moja hatukukuta.