DAD'S SON
JF-Expert Member
- Nov 18, 2015
- 392
- 466
Naomba udondoshe msemo/misemo yoyote inayoendana na kipindi hiki cha corona.
Mimi naanza
1.mficha uchi hazai.
2.akufae kwa dhiki ndie rafiki.
3.kunguru muoga uishi miaka mingi
4.mbio za sakafuni huishia ukingoni
5.mtaka yote hukosa yote.
N.B hata wa kingereza dondosha tutaelewana tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi naanza
1.mficha uchi hazai.
2.akufae kwa dhiki ndie rafiki.
3.kunguru muoga uishi miaka mingi
4.mbio za sakafuni huishia ukingoni
5.mtaka yote hukosa yote.
N.B hata wa kingereza dondosha tutaelewana tu.
Sent using Jamii Forums mobile app