Pekejeng
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 502
- 1,254
Wakuu unakuta unaanzisha urafiki na manzi lengo ni kuwa hapo baadae utupie sound lakini kadri siku zinavyozidi kwenda na mnavyozidi kuzioeana unajikuta unashindwa kusema ukweli mwisho wa siku unajenga hofu ya kukataliwa na kushindwa kabisa kufunguka ukizingatia na hofu ya kuvunjika kwa urafiki.
Sasa embu tupeane uzoefu ni njia ipi sahihi ya kujikwamua au kuepuka kuwa kwenye friendzone
Sasa embu tupeane uzoefu ni njia ipi sahihi ya kujikwamua au kuepuka kuwa kwenye friendzone