Kwa kutumia hizi rate za kwenye table, income ya 10Milion, tax yake haiwezi ikawa 3Milion.Imegoma mkuu, ambapo ukiingiza 10,000,000 kwenye ile template ya TRA inakuja 3,000,000 kama provisional tax, wakati kwa hii formula uliyodevelop inakuja 90,000 mimi kwa ile formula inakuja 3,850,000 kwahiyo tumekosea kaka.
Cheki huo mpangilio mkuuKwa kutumia hizi rate za kwenye table, income ya 10Milion, tax yake haiwezi ikawa 3Milion.
Tuma link ya hiyo calculator ya TRA nikutengenezee formula
Duh okay sawa MkuuMimi sijawahi kutumia telegram, itakuwa aliyeanzisha huu uzi ndiye alikuwa anawafundisha
Ukiweka income ya milion 10, hiyo online calculator ndio inaleta tax ya milion 3? Au ulikusudia kuandika 100,000,000?Cheki huo mpangilio mkuu
SimpleNaomba kujulishwa jinsi ya kuandaa matokeo ya mtihani, jinsi ya kuwapanga wa mwanzo hadi mwisho kwa kuzingatia column ya JUMLA bila kuathiri mpangilio wa alama za masomo kwa kila somo.
Nimeweka kambi hapaWadau,
Kujua Excel Spreadsheets ni muhimu sana...
Tunaweza tukashirikishana tricks mbalimbali katika Excel hapa ili tujifunze wote..
Unaweza pandishwa CHEO au Kupata kazi kirahisi Kwa kujua EXCEL vizuri.. Watanzania wengi udhaifu wao upo hapo.. So Unaifanya WEAKNESS hiyo kuwa Strength kwako.Kwenye Ofisi yeyote mtu ambaye haogopi excel huwa anaonekana ni kichwa sana.. unaweza pia ukamvutia bosi wako kama utaijua kumshinda yeye na atakufanya rafiki yako ili usimuumbue...
Kwenye Interview ndio utawamaliza kabisa ..ukikutana na viherehere wakakuchokoza hapo ndio unawaonesha ujuzi wako wote... wengi huwa hawaijui kwasababu ya uvivu... Kwa hiyo usiogope..Niliwahi ulizwa swali na panelist kwenye Interview nikaenda deep mpaka akaogopa maana kuna vitu alikuwa havijui na yeye akaamua apotezee hilo swali akarukia kitu kingine kukwepa aibu..
Weka Trick yako hapo chini ili wengine wafaidi au kama unaswali uliza nitakujibu mimi au wadau wengine...
Ingependeza sana pale unapokwama uulize swali hapa.. Ili tujadiliane vitu ambavyo ni useful katika mazingira yetu ya shule au kazini...
Dunia ya sasa sio lazima uende darasani.. Unaweza tumia muda wako na MB zako vizuri mtandaoni na ukaongeza Ujuzi polepole
**Kama unatafuta kazi na umeandika Kwenye CV kwamba una ujuzi na Excel fuatilia huu uzi na group uwe updated na vitu mbalimbali ili usije umbuka siku ukiwa unafanya written au Oral Interview
** Nitakuwa naelezea Common questions ambazo waajiri hupenda kuuliza kukupima uelewa wako katika Spreadsheets.. Ni Muda na MB zako tu.. Sihitaji kingine...
Please NOTE
** Usiulize kitu unachokijua kupima watu Bali andika trick unayoijua ili wengine wafaidi na kama unaswali ULIZA wataalam tutakusaidia
PS:
Kama upo Telegram unaweza Ingia Kwenye Public Channel ipo hapo chini Kwa vitu ambavyo haviwezekani kuelezewa hapa vizuri..Kama video na files. Ni public channel ya kusoma na Sio sehemu ya chatting!
Naomba kuwasilisha!
Ethos
Mkuu tembea na hii, nikijaribu kutengeneza Formula inagoma ,kumbuka tushawahi kuizungumzia hii.Bila shaka watu wameshaiva Excel kupitia huu uzi, ni mwaka umepita tangu mtu wa mwisho kuchangia
Nielezee kipengele cha mwisho nikutengenezee formula. Hiyo range ya 11m mpaka 100m sijaielewa, inakuwa ni 3.5% ya excess from 11m? Naona kwenye formula yako umeweka ni 3.5% ya excess from 100m, ikiwa less than 100m italeta negative. Na pia ikiwa greater than 100m percent yake ni ngapi?Mkuu tembea na hii, nikijaribu kutengeneza Formula inagoma ,kumbuka tushawahi kuizungumzia hii.
Nielezee kipengele cha mwisho nikutengenezee formula. Hiyo range ya 11m mpaka 100m sijaielewa, inakuwa ni 3.5% ya excess from 11m? Naona kwenye formula yako umeweka ni 3.5% ya excess from 100m, ikiwa less than 100m italeta negative. Na pia ikiwa greater than 100m percent yake ni ngapi?
Itakuwa ajabu kama mtaalam nitakosa hata soda, kwenye kutengenezewa template hamtaki kabisa kuniunga mkono dah!Bado sijakupata, 11m to 100m inatumìa rate ya 3.5% of excess in 11m si ndio? Na ikitokea imezidi 100m, rate inatumika ipi?
Above 100m sio 4.5% fatilia vizuriView attachment 3642898
Hapo mkuu inamaana kuanzia 11m to 100m ndo rate yake ni 3.5% and above
Ni hiyohiyo mkuu, yaani namaanisha above 100mAbove 100m sio 4.5% fatilia vizuri
Ni hiyohiyo mkuu, yaani namaanisha above 100m
Hiyo attachment ndo mtiririko wote, generate mkuu, kila nikgenerate inaleta invalid valuesAbove 100m sio 4.5% fatilia vizuri
Must be below 100m, kama ni zaidi ya 100m?Hiyo attachment ndo mtiririko wote, generate mkuu, kila nikgenerate inaleta invalid values
Formula hiyo hapo juu, sidhani kama itakataa utanipa feedback. Ms Excel haina ubavu wa kunitunishia misuliHiyo attachment ndo mtiririko wote, generate mkuu, kila nikgenerate inaleta invalid values
Sijaona formula mkuu.Formula hiyo hapo juu, sidhani kama itakataa utanipa feedback. Ms Excel haina ubavu wa kunitunishia misuli