sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,034
Kuna maduka kama laptop city, Discount kubwa, zawadi computers na maduka kibao ya wasomali wanauzaga hizi laptops kwa bei chee kidogo.
Niliwatafuta wanipe connction ila waligoma, Sikuwa na nia ya kuharibu biashara zao ila nlikuwa nataka tu nijipigie order kuna pc ni bei sana sasa nikataka nijiagizie.
Kwa anaejua please
Mwl.RCT
Chief-Mkwawa
Niliwatafuta wanipe connction ila waligoma, Sikuwa na nia ya kuharibu biashara zao ila nlikuwa nataka tu nijipigie order kuna pc ni bei sana sasa nikataka nijiagizie.
Kwa anaejua please
Mwl.RCT
Chief-Mkwawa