Umenitamanisha ngoja niangize kisungura
Picha tafadhaliKwenye hoja direct, mwana jamvi kutokana na mvua zinazoendelea hasa katika jiji la Dar es salaam huku Kimara hasa barabara ya Bonyokwa imeharibika sana.
Vipi wewe huko ulipo?
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Seriously???Sisi hapa Dodoma hata tone hatuna!

Sasa mbona jamaa wanakunywa supu pale jangwani kama hakuna kitu kilichotokea?![]()
Kweli ila kwa ngoma iliyopiga jana aisee ilikua balaaaDar mvua ikipiga kidogo lazima vilio visikike, Kuna mikoa mvua ikikata na maji mitaani hakuna ila Dar Sasa mvua moja ikipiga basi maumivu wiki nzima.
Utawaweza haoSasa mbona jamaa wanakunywa supu pale jangwani kama hakuna kitu kilichotokea?![]()
Acha inyeshe tu chiefKweli ila kwa ngoma iliyopiga jana aisee ilikua balaaa
Yanga ni vyura hata inyeshe mwaka mzima fresh tu kwao.Sasa mbona jamaa wanakunywa supu pale jangwani kama hakuna kitu kilichotokea?😁
Jangwa la sahara hiloSisi hapa Dodoma hata tone hatuna!
Breakfast saaafi!
Poleni sanaMbezi mwisho shughuli zetu baadhi ya wamachinga zimesimama
Hahaaaa,kuna sehemu inaitwa Bonyokwa kwa kichwa.Poleni wakuu, yatapita tu.
Lkn sijui kwanini neno Bonyokwa huwa linanichekesha sana
Kelsea huko mvua vipi?
HongereniGoba huku mshikikilia kok leo kajisahau mvua haipoi leo