Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,144
Yawezekana kuna watu wengi member wanaishi maisha ya shida na ndoa zao na yawezekana sababu ni kujua nini cha kufanya ama kumfanyia mwena wake ukiwa kama
mpendwa uliebarikiwa kuwa na ndoa ya furaaha mapaka leo bila kutegemea uchawi
tunakuomba usaidie kutoa michango iliofanya ndoa yako kuwa imara uweze kudumisha na kutunza familia nyingi za wana jf kupitia hilo mungu akaongeze uzao wako kutokana na mahitaji yako..Na wote tuseme
Amina
mpendwa uliebarikiwa kuwa na ndoa ya furaaha mapaka leo bila kutegemea uchawi
tunakuomba usaidie kutoa michango iliofanya ndoa yako kuwa imara uweze kudumisha na kutunza familia nyingi za wana jf kupitia hilo mungu akaongeze uzao wako kutokana na mahitaji yako..Na wote tuseme
Amina