ministrant
JF-Expert Member
- Jan 17, 2014
- 1,253
- 2,290
Pesa inanyoosha kila kitu
Hizo Mr & Mrs, ata dakika 5 ni nyingi unaweza kuzipata; ni muhimu liwezekanalo lisikupite.
Kwa kulewa hv babanguuuu huko daaaaslamu kama sio kakako yaaani mwwkani ukirudi hapa uje na maendeleo ....... shoiya tuu wenzio wanakuacha chini aaatiiiiiiChap tena kwa haraka konaa
Hujamsikia yule jamaa amesoma sana. Wakati anaenda kusoma wenzie wanaingia front kwenye biashara karikoo. Ametoka huko amemaliza maPHD. Amerudi amekuta dunia imebadirika,kile alichosomea miaka yote hakihitajiki. Maprofesa wengi wanakufa wakiwa hawana chochote zaidi ya elimu kichwaniUnajisikiaje kutumia jina lile lile ulilopewa na wazazi wako toka udogoni mpaka unakufa nalo?
Kama tunaweza kuongeza thamani ya viwanja vyetu, mashamba, majengo n.k, ni muhimu pia kuongeza thamani ya majina yetu.
Kama mpaka umri huu, bado unatumia majina yaleyale uliyopewa na wazazi, na hujayaongezea thamani kwa kuanza na jina Dr au Prof. utaonekana bado ni mtu wa kizamani, wa karne iliyopita.
Kama tunaongezea thamani kwa kitu kilicho chakaa, ni muhimu pia kuongeza thamani ya jina lako lililochakaa.
Ingawa kuna changamoto ya kufikia hiyo thamani ya majina, wengine wanaamua kujiongezea thamani ya majina mfano mwinjilist, mchungaji, CP nini n.k
Lakini, ni muhimu kutambua, thamani ya majina yako duniani, yataongezwa na haya maneno mawili tu, Dr au Prof. Hizo zingine huwa ni mbwembwe tu.
Twendeni darasani
Thamani yako huongezeka pale ambapo maisha yako yamechangia kuleta mabadiliko chanya kwenye jamii na sio kuwa na Permanent Head Damage (PhD) ama kuwa Mwalimu (Prof.).
Hizo title kwasasa hazina thamani yoyote ile, hii ni baada ya jamii kutoona matokeo chanya yanayoletwa na mtu kuwa na hizo title.
Kabisaa , kwanza kawaletee wadogo zako bia pale dukani kwa babuuKwa kulewa hv babanguuuu huko daaaaslamu kama sio kakako yaaani mwwkani ukirudi hapa uje na maendeleo ....... shoiya tuu wenzio wanakuacha chini aaatiiiiii
Siendi mnanishushia heshima,,Kabisaa , kwanza kawaletee wadogo zako bia pale dukani kwa babuu
Hujamsikia yule jamaa amesoma sana. Wakati anaenda kusoma wenzie wanaingia front kwenye biashara karikoo. Ametoka huko amemaliza maPHD. Amerudi amekuta dunia imebadirika,kile alichosomea miaka yote hakihitajiki. Maprofesa wengi wanakufa wakiwa hawana chochote zaidi ya elimu kichwani
Wamekupatia cheti cha tajiri?Mimi wananiita tajiri
Ndio mkuuWamekupatia cheti cha tajiri?
Unasema nini tumaa? Utaka wadogo zako waende dukani na wametoka daslamu jana tu, wewe nilini ulituma pesa ya nyama hata jumapili moja , ebu toa upumbafu wako hapa ngikukaba na kiretaSiendi mnanishushia heshima,,
Matemba, ungekuwa na heshima ungekuja na hela hapa mwangilie mtoto wa ma frrrreeediiii hapo chukuq mfano
Kalete hizo bia mm nina kiu aseeh babanguuuu
Kila binadamu ana umuhimu wake kwenye sehemu yake,Dr akiharibikiwa Gari,anaweza akatengenezewa gari lake na kijana wa darasa la 7 mwenye ujuzi wake,kwenye ofisi yako,Dada wa usafi nae ana play part yake,Zenye muhimu ni mbili tu duniani, Dr/Prof.
Sawa mkuuNdio mkuu
Kuna vitu viwili unachanganya; kuipa thamani jina na kutambulika katika kutoa huduma.Kila binadamu ana umuhimu wake kwenye sehemu yake,Dr akiharibikiwa Gari,anaweza akatengenezewa gari lake na kijana wa darasa la 7 mwenye ujuzi wake,kwenye ofisi yako,Dada wa usafi nae ana play part yake,
Itafute thamani yako kwa jinsi unavyoishi na jamii inayo kuzunguka na mchango wako kwenye jamii hiyo,
Jina ni identity tu and has nothing kukufanya wewe uonekane wa maana zaidi kuliko wengine,thamani ya mtu au heshima ya mtu haijengwi kwa jina lake,
Wake up and Live.
Itakua wewe ndio umesha sahau kua umeleta mada ya aina gani,Kuna vitu viwili unachanganya; kuipa thamani jina na kutambulika katika kutoa huduma.
Kuipa thamani jina, ndio hiyo (Dr, Prof)
Kutambulika katika kutoa huduma kutokana na ujuzi wako; uwe fundi, daktari wa kutibu, dereva, injinia, mhasibu, muuza genge n.k
Jirani,Winga limekaa kibabe sana kwa Binti,tafuta jina la kimahaba,hilo mimi silitaki.Winga Lamomy si inatosha? 😹
😹😹😹 Kwani mi si winga lakini jirani?Jirani,Winga limekaa kibabe sana kwa Binti,tafuta jina la kimahaba,hilo mimi silitaki.