Heche kwa kugha ya kisasa, amempa Tambwe za uso kwamba yeye analipwa kwa kuchafua watu na kupindisha mambo. Anasema yeye hasimamii hoja zake, mfano alisema kuwa hawezi kutoka CUF lakini baadae akatoka na kuanza kuyapinga aliyoyasimamia akiwa CUF Wapiga kura wa kizazi hiki si watu wakusikiliza propaganda za Hiza!