Huyu dada aliyetangaza leo Magazeti StarTV lazima ni mccm au ametishwa.
Yaani kagoma kabisa kusoma habari za kilichotokea jana jangwani uzinduzi wa kampeni za UKAWA, zaidi ya kusoma HEADINGS tu kisha kukimbilia kusoma habari za Magufuli, Samia, Mwakyembe na Lisinde.
Kimsingi alichokua anafanya huyu binti ni sawa tu na alichokifanya yule mtangazaji wa magazeti wa TBC1 kuruka habari na kusoma vijihabari.
Huu utaratibu wa watangazaji kufanya kazi kishabiki akiti ukweli unaonekana inakera na inadharirisha taaluma zao na vyombo vyao vya habari.
Yaani kagoma kabisa kusoma habari za kilichotokea jana jangwani uzinduzi wa kampeni za UKAWA, zaidi ya kusoma HEADINGS tu kisha kukimbilia kusoma habari za Magufuli, Samia, Mwakyembe na Lisinde.
Kimsingi alichokua anafanya huyu binti ni sawa tu na alichokifanya yule mtangazaji wa magazeti wa TBC1 kuruka habari na kusoma vijihabari.
Huu utaratibu wa watangazaji kufanya kazi kishabiki akiti ukweli unaonekana inakera na inadharirisha taaluma zao na vyombo vyao vya habari.