Tuongee asubuhi Star TV: Jicho letu ndani ya Habari

ALOMOLIE

JF-Expert Member
Mar 20, 2016
248
113
Mjadala kichekesho unaendelea Star tv kutaka Bunge liandikwe Gazetini,wakati bunge lenyewe halitaki lioneshwe live.Je magazeti yaandike habari ya bunge kwa faida ya nani?

Je, wasome hao hao ambao hawatakiwi kuliona bunge likiwa kazini?

Magazeti kazeni buti hatutaki kuona habari ya bunge ndani ya magazeti.

Mkiandika tutaacha kununua. Kazi waachieni uhuru na habari leo.

Pamoja TV yao ambayo inabagua watu wa kuwarusha hewani.
 
Kweli Magazeti yote yasiandike habari za bunge wawaachie uhuru na habari leo ambayo kwa kawaida huwa hayanunuliwi kwa wingi na wananchi
 
Naihurumia sana kambi ya upinzani, kama walitegemea media kuuza na kama magazeti nayo yameamua kukaa kimya, basi wananchi kwa % kubwa na kwa majipu haya watajua CCM ndio inatenda kazi.
 
Kweli Magazeti yote yasiandike habari za bunge wawaachie uhuru na habari leo ambayo kwa kawaida huwa hayanunuliwi kwa wingi na wananchi

Ni lazima watanzania tuw na uwezo wa kung'amua mambo. "MKWEPA KODI, Hizo ni fikra butu sana katika kujenga hoja ya haja.Kama wewe husomi gazeti fulani, usidhani Watanzania ni wewe peke yako. Be objective.
 
Wale jamaaa awa wa Mwanza vichekesho sana wanavyobishana. Yule Soko na mwenzake. Mpaka wanatukanana sana,
 
Mjadala kichekesho unaendelea Star tv kutaka Bunge liandikwe Gazetini,wakati bunge lenyewe halitaki lioneshwe live.Je magazeti yaandike habari ya bunge kwa faida ya nani?

Je, wasome hao hao ambao hawatakiwi kuliona bunge likiwa kazini?

Magazeti kazeni buti hatutaki kuona habari ya bunge ndani ya magazeti.

Mkiandika tutaacha kununua. Kazi waachieni uhuru na habari leo.

Pamoja TV yao ambayo inabagua watu wa kuwarusha hewani.
Doto Bulendu you are losing your credibility! katika hao watu wa leo, afadhali Soko kuliko huyo mwingine. Tulishalalamika kuwa huyo ni mtu wa kubishana vijiweni sio kwenye intellectual media kama hiyo, unless usema na Star Tv ni upuuzi vile vile. Chagua watu wa kuja kutoa philosophical reasoned arguments sio wale wa kutoa ad hominen arguments!
 
Back
Top Bottom