Tuone aibu kuuza kahawa

Mzalendo Mkuu

JF-Expert Member
Nov 2, 2010
735
191
Wapendwa kuna hii biashara ya kuuza kahawa Kimachinga. Watanzania tuone aibu kwa watu wetu kuchuuza kahawa. Kwanza haina tija na pili inafanyika kwenye mazingira ya uchafu sana. Wanatumia maji ya kidumu kuosha vikombe vyote. Ni hatari sana kiafya.
 
Halafu wakishakosa hata hiyo ajira ya kipato kidogo unayotaka wasiwenayo unategemea nn zaidi ya idadi ya waporaji kuongezeka mitaani?
Nafikiri ungeshauri wafanye biashara katika mazingira safi na sio kuacha kabisa.
Kuwa na huruma ndugu yangu. Hao wanasubiri zile ajira milioni moja ziwafikie ingawa hawapata fursa ya elimu kutokana na mifumo ya kibepari ktk nchi inayojiita ya kijamaa kwenye katiba.
 
sidhani kama tunatakiwa kudiscourage biashara hii, kwasababu wengi wanafaidika nayo...unajua kahawa kaka yake ni uvivu, baba yake ni vijiwe vya wapiga soga na wala ubwabwa wasiopenda kufanya kazi wakiwaacha wake zao watafute pesa wao warudi jioni wakele vya bure, pia ni vijiwe vya mamwinyi wachawi wa chuma ulete ambao wanakaa kwenye vijiwe ili kuangalia wanaopita wachukue hela mifukoni mwao bila wao kujua, kahawa inahudumia watu wenye akili mbofumbofu wambeya wasiopenda kufanya kazi....SASA, TUKIDISCOURAGE hawa watu ambao wao wanaona wanafanya haya yote kwa manufaa yao watarundikana wapi ili wauze uchawi, wapige chuma ulete na kujificha kwenye kijiwe cha wavivu...hauoni kama tutawavurugia dili lao....hahahahahahahaaaaaaaaaaaaa, mambo ya pwani hayo...piga soga toka asubuhi kwenye kijiwe alimradi jioni ifike ukale ubwabwa wa mke wako.....nyambafuuuuuuuuu
 
sidhani kama tunatakiwa kudiscourage biashara hii, kwasababu wengi wanafaidika nayo...unajua kahawa kaka yake ni uvivu, baba yake ni vijiwe vya wapiga soga na wala ubwabwa wasiopenda kufanya kazi wakiwaacha wake zao watafute pesa wao warudi jioni wakele vya bure, pia ni vijiwe vya mamwinyi wachawi wa chuma ulete ambao wanakaa kwenye vijiwe ili kuangalia wanaopita wachukue hela mifukoni mwao bila wao kujua, kahawa inahudumia watu wenye akili mbofumbofu wambeya wasiopenda kufanya kazi....SASA, TUKIDISCOURAGE hawa watu ambao wao wanaona wanafanya haya yote kwa manufaa yao watarundikana wapi ili wauze uchawi, wapige chuma ulete na kujificha kwenye kijiwe cha wavivu...hauoni kama tutawavurugia dili lao....hahahahahahahaaaaaaaaaaaaa, mambo ya pwani hayo...piga soga toka asubuhi kwenye kijiwe alimradi jioni ifike ukale ubwabwa wa mke wako.....nyambafuuuuuuuuu

eeeeh! Mambo ya mnagoni hayo,unashinda kijiweni kama ng'onda anayesubiri akaukwe apelekwe kwa wachuuzi,pambafuuuuuu! Zaooo! Kunamzee mmoja mtaani kwetu alikuwa ni muuza kahawa,chuma ulete na mchawi mbayaaa! Kudadadadekiiiiii alipodanki mtaani ilikuwa sherehe!
 
Halafu wakishakosa hata hiyo ajira ya kipato kidogo unayotaka wasiwenayo unategemea nn zaidi ya idadi ya waporaji kuongezeka mitaani?
Nafikiri ungeshauri wafanye biashara katika mazingira safi na sio kuacha kabisa.
Kuwa na huruma ndugu yangu. Hao wanasubiri zile ajira milioni moja ziwafikie ingawa hawapata fursa ya elimu kutokana na mifumo ya kibepari ktk nchi inayojiita ya kijamaa kwenye katiba.

mkuu sio kudcorage,but ni uwezo tu wa hawa watu kufikiri,calculation yao inaishia kwenye hela tu basi,mambo ya time na nguvu wanayotumia kuzunguka kutafuta wateja ingetosha kupanda nusu heka ya bustani ya mboga za majani na kumwagilia na unaingiza hela ndefu.tuache utani,unapofanya biashara lazima ufanye feasibility study ya kutosha.
 
sidhani kama tunatakiwa kudiscourage biashara hii, kwasababu wengi wanafaidika nayo...unajua kahawa kaka yake ni uvivu, baba yake ni vijiwe vya wapiga soga na wala ubwabwa wasiopenda kufanya kazi wakiwaacha wake zao watafute pesa wao warudi jioni wakele vya bure, pia ni vijiwe vya mamwinyi wachawi wa chuma ulete ambao wanakaa kwenye vijiwe ili kuangalia wanaopita wachukue hela mifukoni mwao bila wao kujua, kahawa inahudumia watu wenye akili mbofumbofu wambeya wasiopenda kufanya kazi....SASA, TUKIDISCOURAGE hawa watu ambao wao wanaona wanafanya haya yote kwa manufaa yao watarundikana wapi ili wauze uchawi, wapige chuma ulete na kujificha kwenye kijiwe cha wavivu...hauoni kama tutawavurugia dili lao....hahahahahahahaaaaaaaaaaaaa, mambo ya pwani hayo...piga soga toka asubuhi kwenye kijiwe alimradi jioni ifike ukale ubwabwa wa mke wako.....nyambafuuuuuuuuu

Nimeamini tuko tofauti! Povu lote hilo, kisa?
 
bora muuza kahawa,kuliko yule ambae asietaka kujishuhulisha na chochote kile
 
Back
Top Bottom