Tunza wazazi wako

Tunza wazazi wako

1Africa54

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2025
Posts
462
Reaction score
540
Saidia wazazi wako hata kama hawajakuomba

Walale pazuri
Wavae vizuri
Wale vizuri

Ukiona usumbufu na huna muda wajengee chanzo Cha maokoto pesa
 
Nadhani kwa kuwasaidia vijana ambao bado hawaja toka au hawana msingi bora ungesema tunza mzazi pale unapo weza, kuna vijana hawafanikiwi au hawasogei mbele kwasababu ya kubeba mizigo mikubwa.

Kwaio weka sawa hapo Usitumie hisia hayo hayapo karne hii.
 
Nadhani kwa kuwasaidia vijana ambao bado hawaja toka au hawana msingi bora ungesema tunza mzazi pale unapo weza, kuna vijana hawafanikiwi au hawasogei mbele kwasababu ya kubeba mizigo mikubwa.

Kwaio weka sawa hapo Usitumie hisia hayo hayapo karne hii.
Saidia wazazi wako vyovyote uwezavyo
Kwa hali ulio nayo kwa unavyo vimudu
 
Siyo saidia ni wajibu wako, hata ukikaa na hela zako sie wazazi hatunaga noma
 
Back
Top Bottom