Preety
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 433
- 153
Nasubiri na cv ya mwl salma kabla hajawa salma kikwete alikuwa anaitwa salma nani vile?
Duuhhh kuna anaejua kweli? Na mm ningetamani kuijua
Nasubiri na cv ya mwl salma kabla hajawa salma kikwete alikuwa anaitwa salma nani vile?
Duuhhh kuna anaejua kweli? Na mm ningetamani kuijua
Umeambiwa jf ni zaidi ya google, tulia hapa hapa jf, watakuja tu wajuzi wa mambo watatuambia tu alikuwa anaitwa na nani, na kama alikuwa anafunga malemba tangu za zamani, watasema tu
Tunu kielimu ana bachelor ya biashara kutoka open university of Tanzania.
Mbona inasemekana mke wa kwanza wa Pinda alifariki na akaoa mdogo wa marehemu? How far is the truth?
Ni kweli mke wa kwanza alifariki. Mila ikamruhusu akaoa mdogo wa marehemu naye akafariki. Akaamua kuishi kwa muda bila mke. Masuala ya vyeo vya utumishi wa umma yakalazimu awe na mke, na ni Tunu. Hana mtoto na Tunu. Wanawe ni wakubwa wa mke wa kwanza. Sina hakika kama mke wa pili alizas maana hakudumu sana. Mengine ni private zaidi.
Ni kweli mke wa kwanza
alifariki. Mila ikamruhusu akaoa mdogo wa marehemu naye akafariki.
Akaamua kuishi kwa muda bila mke. Masuala ya vyeo vya utumishi wa umma
yakalazimu awe na mke, na ni Tunu. Hana mtoto na Tunu. Wanawe ni wakubwa
wa mke wa kwanza. Sina hakika kama mke wa pili alizas maana hakudumu
sana. Mengine ni private zaidi.
CHezea Jf wewe... Tunu pinda ana roho nzuri na nimkarimu sana, ana cheza kwaito balaa
Ni kweli mke wa kwanza alifariki. Mila ikamruhusu akaoa mdogo wa marehemu naye akafariki. Akaamua kuishi kwa muda bila mke. Masuala ya vyeo vya utumishi wa umma yakalazimu awe na mke, na ni Tunu. Hana mtoto na Tunu. Wanawe ni wakubwa wa mke wa kwanza. Sina hakika kama mke wa pili alizas maana hakudumu sana. Mengine ni private zaidi.
Ni kweli mke wa kwanza alifariki. Mila ikamruhusu akaoa mdogo wa marehemu naye akafariki. Akaamua kuishi kwa muda bila mke. Masuala ya vyeo vya utumishi wa umma yakalazimu awe na mke, na ni Tunu. Hana mtoto na Tunu. Wanawe ni wakubwa wa mke wa kwanza. Sina hakika kama mke wa pili alizas maana hakudumu sana. Mengine ni private zaidi.
There're rumours that naye ni victim wa 'Mdudu' na hizo scenario za vifo vya wakeze vinajenga maswali mengi ingawa mimi si polisi
Hiyo mito vipi? Hawaruhusiwi kuhisi maumivu?
pia ukimuona kwa karibu ana sura inaonekana very innocent, na anaonekana hana makuu
Nyie watu wapekuzi mamboya watu, yawahusuni???
Ohhhhh kumbeeee
nimeipenda hii. Inaonekana she's a decisive woman na haoni tabu ku express her feelings and thoughts.
Hivyo Mama Pinda ni mtu ambaye anaweza kufanya MAAMUZI MAGUMU na hasa hilo la kubadili dini kumfuata ampendaye (Pinda)
Ki saikolojia kuna uwezekano kabila skuwa hashindwi kumshauri mumewe naye afanye maamuzi magumu
je naye ni HAJJAT?