Jakubumba
JF-Expert Member
- Mar 5, 2011
- 1,624
- 500
1.mtoto amelalia maziwa.
>mtoto kalala juu ya maziwa.
>mtoto amekunywa maziwa kama mlo wake wa usiku.
2.shangazi ametuletea mbuzi.
>shangazi kaleta mbuzi mnyama
>shangazi kaleta kifaa cha kukunia nazi kinaitwa mbuzi
3. J.....aya ametuibia nchi.
> ameiiba tanzania na kuondoka nayo
>ameiba mali zilizomo tanzania.
4.ben ametufanya kondoo
>beni ametufananisha na kondoo wanyama
>ben anatuona wajinga kama kondoo
>mtoto kalala juu ya maziwa.
>mtoto amekunywa maziwa kama mlo wake wa usiku.
2.shangazi ametuletea mbuzi.
>shangazi kaleta mbuzi mnyama
>shangazi kaleta kifaa cha kukunia nazi kinaitwa mbuzi
3. J.....aya ametuibia nchi.
> ameiiba tanzania na kuondoka nayo
>ameiba mali zilizomo tanzania.
4.ben ametufanya kondoo
>beni ametufananisha na kondoo wanyama
>ben anatuona wajinga kama kondoo